Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

Simba kwa uwekezaji ule ni ya kukosa basi?

Acha uongo fatilia manchester united ndio utajua mpira unalipa au haulipi.

Fatilia pia Real Madrid Arsenal ya Asernal wenger ingawa hawakuchukua vikombe vingi lakini walikuwa wanatengeneza faida ya kutosha

Simba hao tu baada ya kuingia makundi wataingiza 1.5bl+ wwanashindwa kununua basi jipya la milioni300?

Garama za uendeshaji wa virabu vya simba na yanga ni kama milion 500×12 ni kama bilion 6 kwa mwezi....
Je Simba Mbet, Azam, Vunjabei na Mo wanashindwa kutoa hizo pesa? Wakati Mbet tuliambiwa ni Bilion 5+ kwa mwaka?

Lakini mfano mwaka juzi yanga alibakiza mpaka change kwenye mahesabu yake wakati hawakuwa na udhamini wa maana !!!!

Tukubali tu kwanza simba kuna tatizo kwa Sasa simba ndio yakukosa hata basi la kikosi kwa wakina Shabibi kweli?

hujui mpira unaedendeshwaje, unaelezea kwa nadharia sana, timu zote unazoziona duniani ukitoa mdhamini basi lazima itetereke hata madrid unayoongelea wewe haiwezi kubalance mahesabu yake kwa kutegemea mapato ya timu peke yake.


- kuhusu mikataba ya mbet, iko ivi tuseme mkataba wetu ni wa miaka 10 kwa bil 10, basi hii hela haupewi yote kwa mkupuo wanaweza kusema tutakupa bila 1 kila mwaka as long ndan ya miaka 10 amemaliza bil 10, japokua ni nadra sana kua consitent hua wanaedesha kwa credit, at the end of the day ni jinsi biashara yao itakavoenda vizuri ndo watajua kiasi gan kitumike unaweza enda miaka 2 na hujapata chochote

- infact ishatokea simba ilishinda ligi na haikupewa ela yoyote, kurudi kwenye scenario yako ya machester naweza tu kukwambia ndo timu inaongoza kwa madeni duniani mpaka sasa yeye na madrid japokua wanajaza uwanja mechi zote na wana mikataba ya mabilioni ya pesa juu na mdhamini juu kama familia
 
Back
Top Bottom