mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa kwa nini alipwe mshahara mkubwa kuliko mchezaji? Jinga kabisa.
Kusajili anasajili MO au Mapama?Nasikia simba wamemsajili Tshishimbi kama ni kweli mo ni zaidi ya mswahili hivi ni kweli tunamhitaji , na ni kweli tunataka kushindana na tp mazembe unaachaje mchezaji kama Shibob, Rashid Juma unasajili mtu ambaye ni majeruhi na mpira wake ni wa kawaida mo atoe bilioni 20 aache usajili wa ovyo
Kitu gani kwa mfanoMo ni mpumbavu yule mtu alikuwa jikoni anaenda kuharibu kila kitu
kwa hiyo senzo akienda lipuli baada ya mida lipuliitakuwa kama simba
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Hahahakwa hiyo senzo akienda lipuli baada ya mida lipuliitakuwa kama simba
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
kweli kabisaHow CEO ana resign 24 hrs bila hata handover na kwenda kwa mshindani wenu mkuu? Extremly poor contract!
kuna watu uwezo wao wa kufikili mdogo sana yaan Simba imekuwa na huu ubora walionao kwa sababu ya Senzo[emoji23][emoji23]Hapo yanga kwenyewe kazi ya kufanya hanaa...
Hawajui wampe ufagiaji au ulinzi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
kuna watu uwezo wao wa kufikili mdogo sana yaan Simba imekuwa na huu ubora walionao kwa sababu ya Senzo[emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app