Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Wanaochangia buku Yanga ni wanayanga wenyewe na ndio jukumu lao kwakua team ni ya kwao... Yanga hawajaomba, wanawajibika katika majukumu yao na club yao... Ombaomba ni hao wanaomganda kila mpita njia,...
Simba watuombe radhi watanzania....
Najiuliza tu, hizi aibu tumeziona live hapa taifa, sasa inakuaje wanapoenda huko nje kuweka kambi!!!... Ndio maana wanaporudi hawaishi kujiwasha matakoni..
Sasa kama unajua Simba ni tofauti na Yanga we unaumia nini labda?
Hajaomba Yanga ameomba Sevilla we unakwazwa nini?
 
Iwe iwavyo weye ndo mshamba. Wachezaji hupeana hadi Tshirts zao kama kumbukumbu kuwa amewahi cheza na timu kubwa sio kwamba ati hawana viatu
Tshirt kawaida, sasa hiyo ya viatu umeona wapi tena hadharani....haaaa hii aibu ya karne

Mimi nawaambia Simba ni maskini mwenye hela ni Mo
 
ndicho Mlichobakiza hicho.
Si account za bank Wala za simu zote zinasoma 0 balance.
Viongozi wenu wameamua kuwaletea mchango "MKUBWA KULIKO"
Siku hyo mtakamuliwa hadi nauli.
By the way ALIYE NACHO UONGEZEWA.
yanga kaongezewa nini?
Hela inaombwa ikiwemo nchi inaomba na kupewa misaada ila hii ya kuomba viatu ni KUBWA KULIKO[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Ahaa! Yaani wamepewa boda boda na marupurupu kibao wakose hela ya viatu? huenda wanataka viatu kama kumbukumbu tu!
Ushasema wamepewa na mo kasema angalau wajiingizie kipato... Sasa uliza hiyo njumu bei gani
 
Bora simba kumbuka Casablanca wachezaji karibu wote waligombania viatu vya Gaucho leo unashangaa Salamba kuomba kiatu
 
Akili ya kuku hiyo... Account ya Simba Ina kiasi gani...
Account ya simba haina hata Mia,.. Hiyo pesa mnayodanganywa imewekezwa na MO iko kwenye account yake na sio account ya Simba,... Mjiongeze mbumbumbu nyie, mshatapeliwa..
Simba hatuna acount ya ombaomba.. Mnajifariji vyura nyie
 
Sasa kama unajua Simba ni tofauti na Yanga we unaumia nini labda?
Hajaomba Yanga ameomba Sevilla we unakwazwa nini?
Kama una akili kiasi cha kizibo cha soda ungeelewa kwamba wale waliofanya hawajitambui pamoja na wewe shabiki maandazi wa simba,... Aibu kwa taifa zima iliyosababishwa na wale mashoga wenu...
Nina wasiwasi saaana mnapoenda kuweka kambi nje,.. Huwa mnajiwashaga matako, maana watu wa tabia hii ya kuomba, fadhila yake ni kutoa...
 
Huu umaskini tu, kumbukumbu hata ulaya wanafanya kwa kubadilishana jezi tena zina majina....sasa hicho kiatu umeona kina majina?
Halafu Salamba anaambiwa akapewe kule ndani yeye anataka palepale maskin mchezaji kampeleka pekupeku kutoka uwanjani[emoji23][emoji23]
Ulitaka aombe amejificha ili iweje?.. bora hata umeona Salamba kapewa nini.
Anajua atavaa au ataweka kumbukumba ni juu yake.. Sevilla sio Mwadui eti aone aibu kuomba.
Wachezaji wanajua maana ya kumbukumbu sio lazima afanye ulivyotaka wewe, sisi bado tuko nyuma sana kwao kisoka.
 
Huu umaskini tu, kumbukumbu hata ulaya wanafanya kwa kubadilishana jezi tena zina majina....sasa hicho kiatu umeona kina majina?
Halafu Salamba anaambiwa akapewe kule ndani yeye anataka palepale maskin mchezaji kampeleka pekupeku kutoka uwanjani[emoji23][emoji23]
Ulitaka aombe amejificha ili iweje?.. bora hata umeona Salamba kapewa nini.
Anajua atavaa au ataweka kumbukumba ni juu yake.. Sevilla sio Mwadui eti aone aibu kuomba.
Wachezaji wanajua maana ya kumbukumbu sio lazima afanye ulivyotaka wewe, sisi bado tuko nyuma sana kwao kisoka.
 
Tushawazoea.. wanatafuta faraja ya kutoka kapa msimu mzima
Kuna mtu anabisha kuhusu ubingwa wenu wa mezani, sisi tunahoji uwekezaji wa Mo uko wapi ikiwa wachezaji hata njumu hawana...?
 
Back
Top Bottom