Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Just kama kumbu kumbu tu, sio kwamba wanaomba kisa umaskini.

Wakati mwingine tutumie vichwa vyetu kureason not otherwise!

Typical MBUMBU MBU. Kumbukumbu gani inayopatikana kwenye njumu? Uache kuchukua jezi yenye jina na nembo, ukamtembeze mwenzio peku peku kwenda vyumbani.

Labda uniambie umefanyika uchunguzi mkabaini viatu vya Sevilla vinafaa sana kuendeshea boda boda
 
Tshirt kawaida, sasa hiyo ya viatu umeona wapi tena hadharani....haaaa hii aibu ya karne
Mimi nawaambia Simba ni maskini mwenye hela ni Mo
Yanga ni masikini mwenye ela ni nani?... Mo yuko pale kawekeza ndio maana yake simba sio ombaomba
 
Yanga ni masikini mwenye ela ni nani?... Mo yuko pale kawekeza ndio maana yake simba sio ombaomba
Mo amewekeza ngapi wakati akaunti ya simba unasoma sifuri...
 
Iwe iwavyo weye ndo mshamba. Wachezaji hupeana hadi Tshirts zao kama kumbukumbu kuwa amewahi cheza na timu kubwa sio kwamba ati hawana viatu
Tshirt sawa tena kwa kubadilishana sasa mtu kabisa kabisa unabembeleza ina maana atembelee nini kutoka nje ya uwanja. kama ni hivyo yeye mbona hajampa vyake wakabadilishana? Wachezaji wengine wana fungus zisizopona!!
 
Bora simba kumbuka Casablanca wachezaji karibu wote waligombania viatu vya Gaucho leo unashangaa Salamba kuomba kiatu
Weka tofauti ya kuomba /kumganda mtu avue viatu uwanjani na kupokea kilichotolewa na kwa ridhaa,.. Tena kaomba kwa akili ya kijinga kbs,... Mwenzie kwa ishara tumeona akimwambia twende kwenye vyumba vya kubadilisha jezi, (Kiafya) .... Salamba kamganda avue hapo hapo..
Hiyo ya Gaucho aliamua kutoa kwa hiari yake hakuombwa... Tunaona wachezaji au wanamuziki kurusha kofia, jezi, viatu t-shirt kwa mshabiki kwa ridhaa yake, ndipo watu huigombea, na ndicho alichokafanya Gaucho... Hii ya Salamba ni ya kwanza ktk ulimwengu wa soka kwa wenye akili timamu.. Waambie wabadilike waache ushamba....
 
Kuna mtu anabisha kuhusu ubingwa wenu wa mezani, sisi tunahoji uwekezaji wa Mo uko wapi ikiwa wachezaji hata njumu hawana...?
Ubingwa wa mezani..?
vipi kombe la FA mmebeba?.. Unapohoji uwekezaji wa Mo simba unamaanisha kuna watu pale msimbazi wamewahi kugoma kisa malipo yao?
Kwa iyo akiomba tshirt au pensi maana yake hana pensg au kiatu?... Mnakwama sana watani wetu
 
Typical MBUMBU MBU. Kumbukumbu gani inayopatikana kwenye njumu? Uache kuchukua jezi yenye jina na nembo, ukamtembeze mwenzio peku peku kwenda vyumbani.
Labda uniambie umefanyika uchunguzi mkabaini viatu vya Sevilla vinafaa sana kuendeshea boda boda
Yeye ndio kaona viatu vinafaa.. we unamchagulia?
Viatu havina nembo?.. Wivu tu utafikiri umeombwa wewe
 
Kama mo ameweza kuwanunulia boda boda hawezi shindwa kuwanunulia viatu
 
Weka tofauti ya kuomba /kumganda mtu avue viatu uwanjani na kupokea kilichotolewa na kwa ridhaa,.. Tena kaomba kwa akili ya kijinga kbs,... Mwenzie kwa ishara tumeona akimwambia twende kwenye vyumba vya kubadilisha jezi, (Kiafya) .... Salamba kamganda avue hapo hapo..
Hiyo ya Gaucho aliamua kutoa kwa hiari yake hakuombwa... Tunaona wachezaji au wanamuziki kurusha kofia, jezi, viatu t-shirt kwa mshabiki kwa ridhaa yake, ndipo watu huigombea, na ndicho alichokafanya Gaucho... Hii ya Salamba ni ya kwanza ktk ulimwengu wa soka kwa wenye akili timamu.. Waambie wabadilike waache ushamba....
Kosa lake ni hapo alipoambiwa kwenda ndani akakomaa palepale...
Ila mwanzo mmekuja utafikiri ni ajabu sana player kupata kumbukumbu.
 
simba Hawawezi kukaa tanga si wakarimu kabisa wanapenda kuaga!

1106211
 
Tshirt sawa tena kwa kubadilishana sasa mtu kabisa kabisa unabembeleza ina maana atembelee nini kutoka nje ya uwanja. kama ni hivyo yeye mbona hajampa vyake wakabadilishana? Wachezaji wengine wana fungus zisizopona!!
Mwenye shida alikuwa Salamba.. yule jamaa kama angetaka wangebadilishana.
Kuhusu kutembea peku , kwani alibaki uchi mbona waliovua tshirt uwanjani hamuwasemi?
 
Back
Top Bottom