Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Just kama kumbu kumbu tu, sio kwamba wanaomba kisa umaskini.

Wakati mwingine tutumie vichwa vyetu kureason not otherwise!
Great thinkers your among of them.

Hata mimi nikutane na Christian Ronaldo LEO ntavyomuomba chochote chake watu hawatoamini...

Kuna vitu watu wanachukulia vya kawaida sana Hiyo team/hao wachezaji kuna ambao hawatokaa wawaone milele mpaka wanafariki... WHY wasiombe kumbu kumbu??

Tanzania hiiii hamna utachofanya kikaonekana chema..HAMNA HAMNA.
 
Adam Saramba kuomba kiatu sio kitu cha ajabu. It's very normal.
Very normal
Sasa mbona kaomba radhi kwa kitendo hicho
Screenshot_20190524-090849.jpeg
 
Mpaka sasa unajua kwenye acc ya Simba kaweka kiasi gani ?
We ni Yanga ya Simba yanakuhusu nini.. kaweka au hajaweka timu yetu ni bora kwa sasa hapa bongo kwa uwepo wake.
Tukutane next season uendelee kushangilia Al ahly na Mazembe
 
Mwenye shida alikuwa Salamba.. yule jamaa kama angetaka wangebadilishana.
Kuhusu kutembea peku , kwani alibaki uchi mbona waliovua tshirt uwanjani hamuwasemi?
Kama hakukuwa na shida mbona yule jamaa alimuomba akampe vyumbani Salamba kagoma...
Jezi ni kawaida kubadilishana uwanjani au mpira ndio kwanza umeangalia jana?
 
Kama hakukuwa na shida mbona yule jamaa alimuomba akampe vyumbani Salamba kagoma...
Jezi ni kawaida kubadilishana uwanjani au mpira ndio kwanza umeangalia jana?
Salamba kachagua viatu.. wewe uliyetaka aombe jezi kama ulivyokaririshwa unaumwa nini.
Sasa uonekane mjanja kwa viatu vya sevilla.. Vp angeomba kwa yanga?
 
We ni Yanga ya Simba yanakuhusu nini.. kaweka au hajaweka timu yetu ni bora kwa sasa hapa bongo kwa uwepo wake.
Tukutane next season uendelee kushangilia Al ahly na Mazembe
Sasa wewe unaleta ushamba, mechi yoyote na timu yoyote lazima iongelewe...
Kwani timu za Ulaya si tunaziongelea na zile ambazo sio timu zetu za kuzishabikia..
Inawezekana unasema tusiongelee simba wakati hata kadi ya chama huna.
Vipi kuhusu Manara kila siku kuiongelea Yanga?, mm binafsi sioni shida yoyote
 
Salamba kachagua viatu.. wewe uliyetaka aombe jezi kama ulivyokaririshwa unaumwa nini.
Sasa uonekane mjanja kwa viatu vya sevilla.. Vp angeomba kwa yanga?
Kama video umeangalia hata mchezaji mwenyewe ameshangaa na ndio maana hakutaka kumpa palepale
 
Sasa maskini yule mchezaji kamwsmbia kiustaarabu twende nikakupe vyumbani ila Salamba kagoma kataka palepale ili amtembeze peku..
Hii sio fair kabisa
Dogo hapo ndio kabugi.. lugha haipandi hata ishara ikamshinda.
 
Great thinkers your among of them.
Hata mimi nikutane na Christian Ronaldo LEO ntavyomuomba chochote chake watu hawatoamini...
Kuna vitu watu wanachukulia vya kawaida sana Hiyo team/hao wachezaji kuna ambao hawatokaa wawaone milele mpaka wanafariki... WHY wasiombe kumbu kumbu??
Tanzania hiiii hamna utachofanya kikaonekana chema..HAMNA HAMNA.
Kweli mkuu.. Sevilla ni timu Kubwa duniani na wachezaji wake sio level yetu hata kidogo.
Ushabiki tu ndio umetufumba akili.
 
Back
Top Bottom