Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

Huu umaskini tu, kumbukumbu hata ulaya wanafanya kwa kubadilishana jezi tena zina majina....sasa hicho kiatu umeona kina majina?

Halafu Salamba anaambiwa akapewe kule ndani yeye anataka palepale maskin mchezaji kampeleka pekupeku kutoka uwanjani[emoji23][emoji23]
Nchi yenyewe masikini, hata Simba wakiwa maskini sawa tu
 
Akili ya kuku hiyo... Account ya Simba Ina kiasi gani...
Account ya simba haina hata Mia,.. Hiyo pesa mnayodanganywa imewekezwa na MO iko kwenye account yake na sio account ya Simba,... Mjiongeze mbumbumbu nyie, mshatapeliwa..
Mmetapeliwa nyie ambao mmetoka kapa msimu huu, itabidi mkacheze ndondo kombe la mbuzi pengine mtafanikiwa
 
Tatizo ni zile kelele za kujiona vibopa, sisi wengine tunatembea kwenye maneno yenu machafu
Nchi yenyewe masikini, hata Simba wakiwa maskini sawa tu
 
Uzi wa kishabiki sana huu kuliko utaalamu..uzi wa kisiasa wa CHADEMA na CCM
 
Kwakweli kuna kitu cha kujifunza hapa, mimi kwa akili yangu nilidhani hapa watanzania na timu nyingne kubwa mnajifunza kitu kumbe hola kabsa, sasa tutaendelea lini kwene soka, then kesho na keshokutwa mnaanza kulaumu marefa na ligi kuwa mbovu!! Kwanini watanzania hatupendi kujifunza duh hahahaha shame on us !! Mimi nikajua sisi tunaojifanya wachambuzi ni wakati wa kupaza sauti kwa viongozi wa klabu zetu kutafuta fursa za friend match kama hizi, hahahaha!! Hapa utakuta hata makocha wa klabu za bongo wanafatilia utoto ili badae waje kulaumu marefa na ligi kushindwa kukua...sasa ligi itakuwa vipi kati hatupendi kujifunza hahahaha tanzania katika soka tutabaki kichwa cha mwendawazimu kwakuwa twajifanya wajuaji wakati hatujuaji kitu chochote
 
Iwe iwavyo weye ndo mshamba. Wachezaji hupeana hadi Tshirts zao kama kumbukumbu kuwa amewahi cheza na timu kubwa sio kwamba ati hawana viatu
Wameomba viatu ili wakalingishie mtaani na kwenye mechi acha kutudanganya
 
Sijui kwa nini watu wanashangaa wachezaji Wa Simba kuomba viatu. Wachezaji Wa Simba mibuti yao ni hii
20150927052801.jpg
 
Wameomba viatu ili wakalingishie mtaani na kwenye mechi acha kutudanganya
Sasa hapo nimekudanganya nini?? Weye wasema kuwa wameomba viatu ili wakaringishie kitaa. Na mimi nimesema, wanaweka kumbukumbu kuwa walicheza na timu kuubwa. It is the same thing guy.
 
Haya maisha bila unafki sometimes hayaendi, mtu anamshangaa Salamba kuomba kiatu cha Banega(world class player), wakati mwenyewe kavaa mtumba adi boxer, na cha kushangaza zaidi ata simu anayo_comment_a kanunua kwa mtu(used_mtumba)[emoji3166][emoji3166]
 
Sasa hapo nimekudanganya nini?? Weye wasema kuwa wameomba viatu ili wakaringishie kitaa. Na mimi nimesema, wanaweka kumbukumbu kuwa walicheza na timu kuubwa. It is the same thing guy.
Siyo hivyo sasa, wao wanataka wakawalingishie wenzao kwamba wenzao wana viatu vibaya wao wana viatu vizuri.
 
Haya maisha bila unafki sometimes hayaendi, mtu anamshangaa Salamba kuomba kiatu cha Banega(world class player), wakati mwenyewe kavaa mtumba adi boxer, na cha kushangaza zaidi ata simu anayo_comment_a kanunua kwa mtu(used_mtumba)[emoji3166][emoji3166]
Vipi kuhusu uwekezaji wa Mo, hauwezi kununua njumu.?
 
Back
Top Bottom