Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili haikuepo kwenye mpira kabisa.Kumbe mpira wakati unaendelea mikia walikua wanavilia chabo viatu vya wachezaji wa sevillaView attachment 1106346
Just kama kumbu kumbu tu, sio kwamba wanaomba kisa umaskini.
Wakati mwingine tutumie vichwa vyetu kureason not otherwise!
Shangaa sana..Hakuna anayeumia ila tunashangaaa
Game ya jana Yanga hakuwemo ila mliacha kula kisa Simba... Umbea tu ,mna wivu kweliKwani Yanga anavyotembeza kikapu Simba inawauma nini?
Nenda kamnyang'anye ..S
Sasa ndiyo aombe na boxer mkuu, hii haikubaliki
Kumbe simba inawakilisha taifa?... Pole kwa aibu wenzako hawajui tuko juuKatutia aibu taifa zima kwa upuuzi wake!
Mkuu nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa, lakini hali anayopitia Yanga na vilabu vingine vya Tanzania ni jambo la kawaida hii inatokana na mfumo wa soka letu kutotaka kubadilika.
Ukiachana na Azam, Kagera na Mtibwa hivi vilabu vingine vyote hali zao zinafanana.
Yanga tumekubali, tumejikubali kuwa sisi ni maskini hivyo hatuna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kutoka kwa wanachama wetu wenye mapenzi mema na timu yao.
Hii hali ni kawaida hata kwenye makampuni binafsi hata serikalini mambo yanavyoenda kombo kunakupunguza mishahara ama kupunguza wafanyakazi....sio swala la aibu.
Tatizo ni pale inapotokea kwenye club ambayo imechukuliwa kuwa mfano kwenda kwenye soka la kisasa.
Simba kwa sasa ina mwekezaji ambaye alitangaza kuingiza zaidi ya bilioni 20 kwenye uendeshaji wa club.
Lakini kinachoonekana ni kama kiinimacho tu, Mo ni tajiri ila Simba ni Maskini tu.
Salamba wakati anaomba viatu alionyesha kabisa anashida ya viatu vya kuchezea na si kwa ajili ya kumbukumbu..
Hitimisho ni kwamba Simba na Yanga haziitaji kuchekana kuhusu umaskini na utajiri wote tuko sawa.....
Wote tunahitaji mabadiliko ya kweli kufika kwenye soka la kisasa.
DUNIA iko pale damponi ,dimbwini kwenye chura wengiSio sisi tu dunia nzima inashangaa..
Ukipata exposure utaelimika mkuu. Mimi naumia sana tunavyojidhalilisha utadhani tunajua sana. Aibu naona mimi.Katutia aibu taifa zima kwa upuuzi wake!
Wenzenu wameweka kumbukumbu we unapi Soga humu.. Hv Zahera amewaambia nini kutoka kapa mwaka huu?Video inaonyesha jamaa anaulizwa unataka kulamba viatu vyangu ama kunibusu miguu, bahati mbaya hawaelewani lugha.
Umenikumbusha mkuu. Mtoa mada nimempa mfano huo (sikukumbuka hili jina la mchezaji) ingawa ni mshabiki mwenzangu.Nadri Haroub (Canavaro) amewahi kubadilishana jezi na Etoo wa Cameroon lakini ilizua kasheshe akaambiwa akate tiketi aifate.. ilikuwa timu ya taifa
Haya mambo ni ushamba wetu tu ila ni mambo ya kawaida mno kwa wachezaji
It's not fair at all. Completely Racism