technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mmefanikiwa kuwahujumu wasisafiri kwenda Libya kisa waliwabana mkatoka droo.
Mna ushaidi gani yanga alitoa pesa kwamba Simba afungwe na biashara?
Kwa kuwatumia watu wa kushughulikia vibari mmechomeka rushwa ili wakwamishe vibari vya kusafiri?
Mtu wa Kwanza aliyeihujumu Biashara Ni Rais wa TFF ambaye Ni Simba damu.
Yaani inakuwaje mlezi wa timu zote anakuwa na chuki kwa timu iliyopiga hatua hivi.
Nina ushaidi wa kutosha kwamba Rais wa TFF pamoja na viongozi wandamizi wa Simba na baadhi wa serikali wameihujumu biashara ili isisafiri kisa ilitoa droo na Simba.
Kwa syle hi soka letu litasubiri Sana ikiwa timu zinahujumiwa na viongozi wa mpira.
Takukuru na Serikali naomba ichunguze sakata hili Kuna hujuma kubwa imefanywa na Simba ili kuwakomoa biashara.
Mna ushaidi gani yanga alitoa pesa kwamba Simba afungwe na biashara?
Kwa kuwatumia watu wa kushughulikia vibari mmechomeka rushwa ili wakwamishe vibari vya kusafiri?
Mtu wa Kwanza aliyeihujumu Biashara Ni Rais wa TFF ambaye Ni Simba damu.
Yaani inakuwaje mlezi wa timu zote anakuwa na chuki kwa timu iliyopiga hatua hivi.
Nina ushaidi wa kutosha kwamba Rais wa TFF pamoja na viongozi wandamizi wa Simba na baadhi wa serikali wameihujumu biashara ili isisafiri kisa ilitoa droo na Simba.
Kwa syle hi soka letu litasubiri Sana ikiwa timu zinahujumiwa na viongozi wa mpira.
Takukuru na Serikali naomba ichunguze sakata hili Kuna hujuma kubwa imefanywa na Simba ili kuwakomoa biashara.