Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Yaani tutoke kupimana ubavu na kina Al Ahly, Mamelody, Wydad Kisha tuje tufungwe na Coastal Union au Ihefu?Simba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la super league, hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
Ungekua unajua mpira usinge comment hiviYaani tutoke kupimana ubavu na kina Al Ahly, Mamelody, Wydad Kisha tuje tufungwe na Coastal Union au Ihefu?
Wewe jamaa una mawazo ya kijima sanaSimba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League.
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
We pumbavu unaejua mpira ume comment wapi Sasa? Kwa hiyo werevu wako wa mpira ndio unakuambia kweli ni mtego?
TFF ya Kiria na Kidao ni mali ya Simba Sports ClubSimba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League.
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
Achana na huyo kilaza hiyo ID yake tu inatosha kumuelewaUnajuwaje mtego wakati hiyo ni ratiba itokanayo na mafanikio mliyoyafikia?
Kwamba timu nyingine za NBC PL zitakazo shiriki michuano ya CAF nazo zimetegwa na zile zisizoshiriki ndiyo zinaandaliwa kushinda?
Unachoshauri ni nini? Kwamba Simba ijitoe kushiriki Super league?
Mumeshaanza mchecheto mapemaaaTFF ya Kiria na Kidao ni mali ya Simba Sports Club
Hivyo viporo mtavitafuna kwa kikosi gani hasa mlichokuwa nacho? Nyinyi mjiandae tu kwa maumivu.Halafu wakianza kutafuna viporo kikamilifu mtaanza kusema wanabebwa ili wachukue ubingwa