Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Simba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League.
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni