njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
watu tunasubiri habazi za manzoki mara yanakuja haya tena, mzungu akifika estadio de manungu au estadio de nyankumbu primary schoool geita si atatoa machozi ya damu?
Huo muda wa mwalimu kumuona na kumpitisha ni hadi lini? manzoko hasaini tena? kama manzoki akisaini basi wa kumpisha huyu mtu naomba awe kanoute na ikiwezeakana kama kweli amazulu wanamtaka muuzeni haraka sana
Huo muda wa mwalimu kumuona na kumpitisha ni hadi lini? manzoko hasaini tena? kama manzoki akisaini basi wa kumpisha huyu mtu naomba awe kanoute na ikiwezeakana kama kweli amazulu wanamtaka muuzeni haraka sana