Simba mnanichanganya sasa na mchezaji mzungu wenu huyo

Simba mnanichanganya sasa na mchezaji mzungu wenu huyo

Bado Makolo hawajifunzi kusajili wauza matunda kama wale Wabrazil
 
Moses phiri alikua mfungaji wa pili kwa ubora alipotoka kwenye ligi yao
Sawa na mayele sisi ukimtoa phiri tuna mugalu ambaye ndani ya misimu miwili ana magoli 17
Yanga ukimtoa mayele mna nani???
Mwenye hizo takwimu?

Sasa kama jibu umepata (sidhani maana wapo wawili tu hapo kwenu)
Je huoni kwamba tupo makini kwa sababu tunatafuta mshambuliaji mwingine ukiwatoa hawa tunaowasajili???
Uyo mugalu umempa mkataba lini bwana CEO wa simba?
 
Msemaji wa Vipers amesema Simba haijawahi kukaa mezani na wao kuhusu Manzoki.
Wao wanaona kwenye mitandao kama watu wengine na ameongezea kuwa Manzoki ana mkataba wa miaka miwili nakama kweli Simba wako Serious waende mezani waongee kwakua mpira ni biashara.
 
Msemaji wa Vipers amesema Simba haijawahi kukaa mezani na wao kuhusu Manzoki.
Wao wanaona kwenye mitandao kama watu wengine na ameongezea kuwa Manzoki ana mkataba wa miaka miwili nakama kweli Simba wako Serious waende mezani waongee kwakua mpira ni biashara.
ulitarajia aongee nini na hakuna kauli official iliyotolewa ?
 
ulitarajia aongee nini na hakuna kauli official iliyotolewa ?
Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu aliwahi kuulizwa kuhusu Manzoki alisema ni swala la Muda tu kumbe ata Mezani hawajawahi kukaa nauongozi wa Vipers.
Tulipo waambia mkataba wa Simba na M-bet ni 12.5 b Kwa miaka 5 mkawa mnabisha.

Viongozi wa Simba ni Chupri tatizo ukweli uwa unakuja taratibu kuliko uongo.
Ni swala la muda tu kilakitu kitakua wazi.
 
Asije na mizigo mingi ili kuepuka usumbufu wa kutupiwa vilago maana hatomaliza msimu atapewa likizo ya matatizo ya kifamilia
 
Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu aliwahi kuulizwa kuhusu Manzoki alisema ni swala la Muda tu kumbe ata Mezani hawajawahi kukaa nauongozi wa Vipers.
Tulipo waambia mkataba wa Simba na M-bet ni 12.5 b Kwa miaka 5 mkawa mnabisha.

Viongozi wa Simba ni Chupri tatizo ukweli uwa unakuja taratibu kuliko uongo.
Ni swala la muda tu kilakitu kitakua wazi.
acha uongo wewe hela yote hiyo m bet wanaaitoa wapi? miaka 5 katoa bilions 5 ni billions moja kwa mwaka, wale wawakilishi wa TRA na BODI YA MICHEZO YA KUBATISHA waliokuwepo siku ile wamehongwa pesa nyingi watu wapandishe sifuri, we ushaona wapi mkataba unasainiwa kwenye jezi?

Team inayoendeshwa kisasa kiuweledi na bila chuplichupli ni yanga sc tu
 
acha uongo wewe hela yote hiyo m bet wanaaitoa wapi? miaka 5 katoa bilions 5 ni billions moja kwa mwaka, wale wawakilishi wa TRA na BODI YA MICHEZO YA KUBATISHA waliokuwepo siku ile wamehongwa pesa nyingi watu wapandishe sifuri, we ushaona wapi mkataba unasainiwa kwenye jezi?

Team inayoendeshwa kisasa kiuweledi na bila chuplichupli ni yanga sc tu
Acha uongo, tumewazi pesa kwenye mkataba
 
Uyo mugalu umempa mkataba lini bwana CEO wa simba?
Mugalu ameachwa jana
Akiwa amebaki phiri
Bocco na kyombo ambao wote watatu ndani ya mechi 46 wana goli nyinngi kuliko bwana mkubwa hapo




Haya naomba majibu

Simba tupo vizuri mpaka mchezaji akiperform kawaida anaonekana mbovu
K.dennis alimaliza ana goli nane last season
Sawa na fei toto ila fei anaimbwa sisi kibu tunamchukia


Levels bruh levels
 
Msemaji wa Vipers amesema Simba haijawahi kukaa mezani na wao kuhusu Manzoki.
Wao wanaona kwenye mitandao kama watu wengine na ameongezea kuwa Manzoki ana mkataba wa miaka miwili nakama kweli Simba wako Serious waende mezani waongee kwakua mpira ni biashara.
Umeisikia kauli ya manzoki mwenyewee???
 
Back
Top Bottom