Simba mnanichanganya sasa na mchezaji mzungu wenu huyo

malengo na matumainiya simba ilikuwa team kufika nusu fainali afrika, na hakuna nayemchukia kibu d ila msimu huu ajipange na ajifunze kuwa na maamuzi ya haraka ashikapo mpira
 
malengo na matumainiya simba ilikuwa team kufika nusu fainali afrika, na hakuna nayemchukia kibu d ila msimu huu ajipange na ajifunze kuwa na maamuzi ya haraka ashikapo mpira
Sawa vyema
Fei toto ajifunze nini?
Maana kwa nnavyoelewa kiungo (no 10) na mtu anayetokea pembeni huku akiwepo namba tisa ambaye siyo mzururaji uwanjani kama mugalu bocco and the likes unakua umejitahidi kweli kufikisha goli nane maana chances nyingi zitapelekwa kwa yule mtu aliyepo mbele muda wote tofauti na timu inayecheza na false nine
Kwa takwimu nlizonazo ni kwamba fei toto kamzidi assist moja kibu dennis... 5 kwa 4 vipi unampa ushauri gani namba kumi ambaye anakaribiwa takwimu na winga aliyeumia katikati ya msimu na kucheza dakika chache zaidi?
Kwa mantiki hii mimi sioni kama kibu ameharibu msimu huu
 
Maamuzi ya haraka yapi na mtu anayecheza nafasi ya karibu zaidi na goli kuliko yeye amemzidi assist moja tu
Basi mi naona kibu ana maamuzi ya haraka ila watu anaowapa mpira hawautendei haki
 
Mbona alikuja yule mbrazil kiungo mkabaji akapendwa, usimkatie tamaa mapema ambaye bado hujamuona.

Usiogope, Simba SC imeshakuwa timu kubwa, wachezaji tofauti kuomba/kuombewa na mawakala wao kuja kucheza Simba SC ni jambo la kawaida.
Kweli timu kubwa ya MAMBUMBUMBU ya bunju

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…