Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Hapa hakuna visingizio vya mechi za kimataifa, Simba wako huru zaidi na nimjuavyo Simba akijeruhiwa humrarua kila anayesogeza pua yake.
Timu ni zile zile mnazozipiga 2, 3 au 5 mtakazokutana nazo Kwa ligi mbalimbali, hivyo hakuna haja ya kufungwa. Nategemea mtachukua VPL, Kagame, Kombe la Mapinduzi, Federation Cup, Sportpesa n.k.
Kila la kheri mnyama
Timu ni zile zile mnazozipiga 2, 3 au 5 mtakazokutana nazo Kwa ligi mbalimbali, hivyo hakuna haja ya kufungwa. Nategemea mtachukua VPL, Kagame, Kombe la Mapinduzi, Federation Cup, Sportpesa n.k.
Kila la kheri mnyama