Simba msimu huu chukueni makombe yote

Simba msimu huu chukueni makombe yote

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Hapa hakuna visingizio vya mechi za kimataifa, Simba wako huru zaidi na nimjuavyo Simba akijeruhiwa humrarua kila anayesogeza pua yake.

Timu ni zile zile mnazozipiga 2, 3 au 5 mtakazokutana nazo Kwa ligi mbalimbali, hivyo hakuna haja ya kufungwa. Nategemea mtachukua VPL, Kagame, Kombe la Mapinduzi, Federation Cup, Sportpesa n.k.

Kila la kheri mnyama
FB_IMG_15700387555577967.jpeg
 
Hapa hakuna visingizio vya mechi za kimataifa, Simba wako huru zaidi na nimjuavyo Simba akijeruhiwa humrarua kila anayesogeza pua yake.

Timu ni zile zile mnazozipiga 2, 3 au 5 mtakazokutana nazo Kwa ligi mbalimbali, hivyo hakuna haja ya kufungwa. Nategemea mtachukua VPL, Kagame, Kombe la Mapinduzi, Federation Cup, Sportpesa n.k.

Kila la kheri mnyamaView attachment 1222013
Sawa bwana Haji OG Manara
 
Kipaumbele ni timu ya Wananchi.
Ndio timu ya taifa, inahudumiwa na Serikali, hata uwanja imepewa na Serikali.
Sisi Simba ni Kama taasisi binafsi.
Tunajitegemea kwa chochote.
Mtoto wa kufikia ndiye anayetumia juhudi binafsi na kufanikiwa.
Mtoto wa baba anasubiri kuandaliwa chakula mezani.
Hongera mtoto wa Mama.
 
Kipaumbele ni timu ya Wananchi.
Ndio timu ya taifa, inahudumiwa na Serikali, hata uwanja imepewa na Serikali.
Sisi Simba ni Kama taasisi binafsi.
Tunajitegemea kwa chochote.
Mtoto wa kufikia ndiye anayetumia juhudi binafsi na kufanikiwa.
Mtoto wa baba anasubiri kuandaliwa chakula mezani.
Hongera mtoto wa Mama.
Timu ya wananchi gani? Congo?
 
Back
Top Bottom