Simba mtateseka sana msimu huu kama staili yenyewe ndo hii

Simba mtateseka sana msimu huu kama staili yenyewe ndo hii

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ni ajabu na kweli timu iliyokuwa inajinasibu kuwa na kikosi bora imebaki kutegemea mbeleko ya kadi nyekundu na penalty ili kupata matokeo,,,na licha ya kupata matokeo wanatoa machozi jasho na damu kupata angalau kagoli kamoja mbele ya timu inayocheza pungufu kwa muda mrefu.

Kama mpinzani akiwa kamili uwanjani makolo wanaondoka patupu maana wanakosa plani b ya kutafuta ushindi, sasa najiuliza hii plan yao ya kufaidika na red card na mipira ya penalty ikibuma uko mikoani watakuwa na hali gani awa watu.

Wanapata kigoli kimoja wanashangilia Kama vile wamemuona yesu live🤣🤣🤣🤣 hii ni hatari sijawai shuudia maajabu aya
 
Huu msimu ni zamu ya yanga kutamba baada ya Mo kuvuna mkwanja wake na kumpisha GSM afanye yake kwa yanga
 
Sijaona sababu kwa nini refa kaongeza dakika 5
Mbeleko ya leo kali
ila bwana sijui huu ni ushabiki wa aina gani.....

wakati red inatolewa ulipotea mda kiasi gani???

molinga alitumia mda gani kutoka uwanjani tena kwa makusudi kabisa?

kipa wa namungo kalala chini mara ngapi na madaktari kuingia bila sababu akidai kaumia mgongo.

ni bongo pekee shabiki anaipinga ile kadi nyekundu..... ni bongo pekeee
 
Ivi Jana yanga na ruvu red kadi ilipatikana dakika ya ngapi?

Vipi goli la Simba ni offside au ni la penalty ya kubebwa na mwandembwa?

Kaa kwa kutulia utopolo najua inauma Sana maana mlianza kusherekea draw
 
ila bwana sijui huu ni ushabiki wa aina gani.....

wakati red inatolewa ulipotea mda kiasi gani?...
Na Ni bongo pekee like Kosa la Manula linakosa onyo, Kosa la Boko pia linakosa onyo, waamuzi wamechemsha, waliwatoa Namungo kwenye game na kuwapakata Makolo. But all in all Simba bado
 
Ni ajabu na kweli timu iliyokuwa inajinasibu kuwa na kikosi bora imebaki kutegemea mbeleko ya kadi nyekundu na penalty ili kupata matokeo,,,na licha ya kupata matokeo wanatoa machozi jasho na damu kupata angalau kagoli kamoja mbele ya timu inayocheza pungufu kwa mda mrefu, na Kama mpinzani akiwa kamili uwanjani makolo wanaondoka patupu maana wanakosa plani b ya kutafuta ushindi, sasa najiuliza hii plan yao ya kufaidika na red card na mipira ya penalty ikibuma uko mikoani watakuwa na hali gani awa watu, wanapata kigoli kimoja wanashangilia Kama vile wamemuona yesu live[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ni hatari sijawai shuudia maajabu aya
Nendeni mkashitaki CAS wahuni wakubwa nyie,Mayele anaushika mpira halafu mnapewa penati nyie.
 
Back
Top Bottom