Simba mtateseka sana msimu huu kama staili yenyewe ndo hii

Simba mtateseka sana msimu huu kama staili yenyewe ndo hii

Sijaona sababu kwa nini refa kaongeza dakika 5
Mbeleko ya leo kali
Kipa wa Namungo katibiwa mara tatu, red Kadi ilipotoka MTU alitumia zaidi ya dakika 2 kutoka uwanjani, hayo hukuyaona, kuna sub zilikuwa zikifanyaika, haya yote hukuyaona, Acha mahaba ongelea uhalisia, hlf hizo dakika huwa zinaongezwa Kwa timu zote mbili, je wao wangeshinda mechi hiyo, ungekuja kusemaje hapa?
 
Vip yanga bila red na penalty mngeshinda
 
K
Ni ajabu na kweli timu iliyokuwa inajinasibu kuwa na kikosi bora imebaki kutegemea mbeleko ya kadi nyekundu na penalty ili kupata matokeo,,,na licha ya kupata matokeo wanatoa machozi jasho na damu kupata angalau kagoli kamoja mbele ya timu inayocheza pungufu kwa mda mrefu, na Kama mpinzani akiwa kamili uwanjani makolo wanaondoka patupu maana wanakosa plani b ya kutafuta ushindi, sasa najiuliza hii plan yao ya kufaidika na red card na mipira ya penalty ikibuma uko mikoani watakuwa na hali gani awa watu, wanapata kigoli kimoja wanashangilia Kama vile wamemuona yesu live🤣🤣🤣🤣 hii ni hatari sijawai shuudia maajabu aya
Kama ile penati walipewa Uto baada ya Mayele kushika mpira na red card ya Ruvu. ..
 
Back
Top Bottom