Simba na kuvaa kote Visit Tanzania ila Wizara ya Maliasili na Utalii inawapa ofa Yanga

Simba na kuvaa kote Visit Tanzania ila Wizara ya Maliasili na Utalii inawapa ofa Yanga

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Kilichobaki yanga wapewe nchi sasa
20230605_230558.jpg
 
Utani wa jadi sasa hivi umehamia kwenye chuki za wazi kabisa. Ni aibu kubwa kwa taifa. Tujifunze kupongezana pale tunapofanya vizuri kimataifa. Naona sasa tumefika kwenye uadui hadi inafika mahala unaona kabisa waliofanikiwa wanaweza kudhurika kwa namna wanavyo shambuliwa na mahasimu wao..... Hadi watu maarufu pia wameshindwa kuficha hisia zao mbaya juu ya mafanikio aliyoyafikia Yanga..... Tujifunze kupongezana panapo stahili
 
Back
Top Bottom