Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
-
- #21
Wachezaji wa kupatika kwa bonanza ndiyo shida iliyomkutaMwambusi kama Zidane, alifikiri ule upepo wa wakati Mbeya city inapanda ungempitia! Uchebe na mikia wana visa vyao ambavyo labda sie hatuvijui! Kawapa ubingwa, kawafikisha robo fainali klabu bingwa Afrika na mpaka sasa wanaongoza ligi, afu wamemtimua!
Kapewa timu KitambiHapo sawa, basi wamrudishe Julio na mzee Kibadeni!
Kweli kabisa umesema ukweli wenye chloroquineKwa makocha waliohudumu simba miaka ya karibuni bado Uchebe kajitahidi! Na simba hamjawa wakubwa kiasi hicho mnachodanganywa na Manara!
IGA IGA FcWanaiga yangaMume wao yanga akifanya kitu lazima na bi hindu waige
Duh..kweli wewe chura. Yaani uzi umeanzisha wewe leo leo ila umeshausahau uaongelea nini.Zungumzia ya Uchebe,ya Yanga na Zahera yalishapita
Kuwa serious kidogo mkuu,acha kuwa na akili za ManaraClub inataka ubingwa wa africa..katoka hatua ya awali kabisa, kwenye ligi keshapoteza point 5
Mchukueni atawasaidiaWala sina hasira naandika hapa nikiwa na mood ya kucheka kwaiyo ni usndishi tu usifikirie hivyo
Ila swala la zahera linatakiwa lichukuliwe seriuos, yule sio kichaa achome pesa zake za nauli kutoka ulaya kuja bongo bila malengo yeyote
Ningumu kubishana na mbumbumbu fanDuh..kweli wewe chura. Yaani uzi umeanzisha wewe leo leo ila umeshausahau uaongelea nini.
Ngoja wafia timu yao waje wakwambieHivi Mzee Lomolomo alienda wapi?
Mbumbumbu ni asiyejua hata "ni ngumu" ni maneno mawili na sio "ningumu".Ningumu kubishana na mbumbumbu fan
Chukulieni kama masihara siku zahera atazua utata zaidi ya mkulima atataifisha lile basi japokua bovuMchukueni atawasaidia
Huyu Kitambi Ndanda ilimshinda kipindi kile....!Kapewa timu Kitambi
Wala sina hasira naandika hapa nikiwa na mood ya kucheka kwaiyo ni usndishi tu usifikirie hivyo
Ila swala la zahera linatakiwa lichukuliwe seriuos, yule sio kichaa achome pesa zake za nauli kutoka ulaya kuja bongo bila malengo yeyote
Sawa lakini ishu ya zahera msiipuuze, mpeni chake asepe maana mkataba unamlindaBasi Aussems ni kichaa kwa mantiki yako, soka letu mkuu tusiumie, si Umeona Unai, ndivyo soka lilivyo
Sawa lakini ishu ya zahera msiipuuze, mpeni chake asepe maana mkataba unamlinda
Ndio njia tulio ichagua , kwanza tumechelewa kumfukuza , Horoya kocha wao alipofel tu kwenda group stage hapo hapo nje ...hii ndio njia..kesho yako haiji yenyewe...unaitengenezaKwa makocha waliohudumu simba miaka ya karibuni bado Uchebe kajitahidi! Na simba hamjawa wakubwa kiasi hicho mnachodanganywa na Manara!
Sawa mwenye akili za ZaheraKuwa serious kidogo mkuu,acha kuwa na akili za Manara