Simba na ndoto zao za Robo Fainali Mwisho leo. SImba akishinda leo ole wangu, niadhibiwe vibaya sana

Simba na ndoto zao za Robo Fainali Mwisho leo. SImba akishinda leo ole wangu, niadhibiwe vibaya sana

Duh! Tabiri zingine ni mauzauza tu, umetabiri kinyume, msiwe mnabiria timu kama vile kwenye mikeka ya kamari
 
Siunajiamini kwamba simba anakufa leo? najua huko nyuma unapazingatia sana mpaka umeshaweka na sheria nyuma mwiko, sasa waambie masela hapa jf wakufanyeje huko mwikoni endapo mnyama ataua mwarabuuto leo? sema.
Inabidi wachomoe mwiko wapachike mkuyenge
 
Naomba nichukue nafasi hii kumuombea Radhi Chizi Maarifa kwa ubashiri aloufanya jana na hii iwe funzo kwa wengine.

Nimalizie tu kwa kusema
UsineneUkamala
 
Achana na ushabiki wa hivyo haukupendezi,iko siku utamweka mkeo kwenye bet..shauri yako
 
Achana na ushabiki wa hivyo haukupendezi,iko siku utamweka mkeo kwenye bet..shauri yako
usihofu siwezi kukufanyia hivyo nipo makini sana. uwe na amani kabisa. leo yanga tunamchapa mtu vibaya sana kisha narudi home kukuchapa na wewe kwa kauli yako hii. bakora hata tatu tu uone uchungu wake
 
usihofu siwezi kukufanyia hivyo nipo makini sana. uwe na amani kabisa. leo yanga tunamchapa mtu vibaya sana kisha narudi home kukuchapa na wewe kwa kauli yako hii. bakora hata tatu tu uone uchungu wake
Sawa
 
Yaani mpaka sasa ubao unasoma Wydad 2 SImba 0..... na SImba wanajitahidi kupambana sana ili wapate hata Draw. Maalimu anasema hali ni Mbaya kwa Simba sababu majini yote kwa siku ya leo yanaonekana kuwa upande wa Wageni. SImba hapati kitu le ndo mwisho wake wa kuwa na ndoto za kuenda kucheza robo fainali

hawa SImba ni wachovu sana mpaka mwishowe tunawaonea huruma tu..... team haina kitu imejichokea haina pumzi haina mbinu .... utadhani Temeke Combine.

NIpo hapa Leo SImba akishinda nipigwe ban ya siku 3
Mnaanzisha nyuzi za kisengerma halafu mnazikimbia.

Ban yanini wakati bando lenyewe la jero msala.
 
Back
Top Bottom