nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Watu hawaelewi kabisa yaani. Yaani mechi ukiona beki au kipa anakuwa man of the match maana yake timu ilizidiwa mno hivyo hao watu walijituma sana kuzuia mashambilizi.Ukiona tu Man of the match anakuwa Goalkeeper au Centreback ujue shughuli hamna hapo
Wengi wao wana akili ya kizezeta za kihindiWatu hawaelewi kabisa yaani. Yaani mechi ukiona beki au kipa anakuwa man of the match maana yake timu ilizidiwa mno hivyo hao watu walijituma sana kuzuia mashambilizi.
Nchi hii ina vilaza wengi sana.Tatizo lenu mnajisahaurisha Sana ,mwez mzima hapa jukwaan mmekua mkiimba taarabu kuwa tutamfunga Simba nyingi jumrisha na manara wenu yeye aliamin aucho ,bangala ,moloko mayele ndio mwiba kwa Simba ajab wote walifichwa Jana...
Kabsa na ile tabia sijui fei totoz ni mkali sijui anaisumbua simba sijui aucho ni sawa na pogba wa buza huko. Leo wanaruka ruka tu km bisi katika kujieleza.Tatizo lenu mnajisahaurisha Sana ,mwez mzima hapa jukwaan mmekua mkiimba taarabu kuwa tutamfunga Simba nyingi jumrisha na manara wenu yeye aliamin aucho ,bangala ,moloko mayele ndio mwiba kwa Simba ajab wote walifichwa Jana .
Simba hashangilii dro Bali anashangilia kuwaprove wrong kuwa bado nyie Ni timu ya kawaida .
Labda Kama hukuangalia mpira jana ,maana aliekuwa amezidiwa anajulikana Waz ,watu full kijiangusha kupoteza muda .
Simba anapocheza na yanga anakuwa Kama kakutana na Geita gold Ila yanga Sasa Mara aseme mtan Ni Azam Mara kwenye kujieleza aseme tumetoshana nguvu na mtaani wangu[emoji23][emoji23][emoji23] kauli za kimalaya Malaya tu.
Alafu Cha kukuongezea Simba Wala hashangilii draw Zaid anaumia kuzikosa point tatu Ila Bora hata draw ukizingatia lile zungu toleo la mwisho lilijimwambafai Sana ,Kama una jicho la kimchezo utagundua Simba Hana shida na yanga Bali Ana shida na zungu pori ,so hii Vita Ni ya Simba na zungu pori anayewananga viongoz wa Simba kila kukicha ,Simba Hana shida na yanga maana anamuona Kama zilivyo Geita ,kmc na timu zingine tu
Sifa mnampa ninyi kwa kumuhofia.Mayele mnamkuza tu ila hamna kitu pale, jamaa ni mtupu na mbahatishaji
Halafu na nyie tabia ya kuwapa sifa za kindezi wachezaji wanaoifunga simba sijui mtaacha lini, balama mapinduzi yuko wapi saizi?
Haya upepo wa mayele umeshakata mna jiandaaje na mechi ya marudiano, mtakua na mchezaji gani wakututambia?
Huu ni upumbavu usiotibika,Wengi wao wana akili ya kizezeta za kihindi
Umeshaona nguruka akioza?
Wewe Ni Nguruka Tu, Kama Ngege Vile
ndo kusema zile kaul za "hatuwez kufungwa mara mbili" zimesahaulika na kujiona mmeweza kumdhibit mwanaume anayetaka kubaka eti?Tatizo lenu mnajisahaurisha Sana ,mwez mzima hapa jukwaan mmekua mkiimba taarabu kuwa tutamfunga Simba nyingi jumrisha na manara wenu yeye aliamin aucho ,bangala ,moloko mayele ndio mwiba kwa Simba ajab wote walifichwa Jana.
Simba hashangilii dro Bali anashangilia kuwaprove wrong kuwa bado nyie ni timu ya kawaida. Labda kama hukuangalia mpira jana, maana aliekuwa amezidiwa anajulikana Wazi, watu full kijiangusha kupoteza muda .
Simba anapocheza na yanga anakuwa Kama kakutana na Geita gold Ila yanga Sasa Mara aseme mtan Ni Azam Mara kwenye kujieleza aseme tumetoshana nguvu na mtaani wangu[emoji23][emoji23][emoji23] kauli za kimalaya Malaya tu.
Alafu Cha kukuongezea Simba Wala hashangilii draw Zaid anaumia kuzikosa point tatu Ila Bora hata draw ukizingatia lile zungu toleo la mwisho lilijimwambafai Sana.
Kama una jicho la kimchezo utagundua Simba Hana shida na yanga Bali Ana shida na zungu pori ,so hii Vita Ni ya Simba na zungu pori anayewananga viongoz wa Simba kila kukicha ,Simba Hana shida na yanga maana anamuona Kama zilivyo Geita ,kmc na timu zingine tu
Mayele mnamkuza tu ila hamna kitu pale, jamaa ni mtupu na mbahatishaji
Halafu na nyie tabia ya kuwapa sifa za kindezi wachezaji wanaoifunga simba sijui mtaacha lini, balama mapinduzi yuko wapi saizi?
Haya upepo wa mayele umeshakata mna jiandaaje na mechi ya marudiano, mtakua na mchezaji gani wakututambia?
Yanga ameposses zaidi kwenye eneo lake baada ya kuzidiwa eneo la kati na akina sadio kanoute na mkude, hivyo wakaanza kupiga pass nyingi kwenye eneo lao ili kuwavuta Simba alafu wapige mipira mirefu, hivyo tuachane na ball possession sababu haina maana yeyote kama unaposses kwenye eneo lako. Twende kwenye attempts ambapo simba ame-attempt mara nyingi zaidi ya yanga hii inamaana kwamba Simba ameshambulia zaidi ya yanga.Watu hawaelewi kabisa yaani. Yaani mechi ukiona beki au kipa anakuwa man of the match maana yake timu ilizidiwa mno hivyo hao watu walijituma sana kuzuia mashambilizi.