Mikamba ya kiwango.FT 3-1
Baleke kama kawaida na migoli yake ya UEFA
Itatokea mvua kubwa siku ya mechiMechi haitachezwa badala yake ITAAHIRISHWA!!
Ipi hiyoNimeota ndoto mbaya juu ya hii mechi mpaka niko njia panda maana nina vita ya moyo na nafsi , ndugu zangu watabiri njooni nielekeze niliyoyaona huko maana Moyo ni mnyama ila ndoto wale jamaa
Hata ubadilishe username,ule uzi wako utaendelea kutrendFT 3-1
Baleke kama kawaida na migoli yake ya UEFA
Nimeota tumefungwa goli mbili na watoto wa Hersi SaidiIpi hiyo