Wanapenda mno mpira ila tatizo ni kipato tu.Mkuu soka la bongo limekua kutokana na uwekezaji, najiuliza Azama Fc anafeli wapi!!??
Pia wabongo wanapenda sana mpira.
[emoji16][emoji1787][emoji1787]Kwamba hao jobless wanapata hela za kununua bundle za kulike na kucoment?
Wazigua walijaa kwenye Page ya Aston Villa na kuanza kushusha matusi baada ya Samatta kuwekwa benchi hadi Samatta akajitokeza kuomba msamaha Kocha, Wachezaji na management ya Aston Villa. Pia akawaomba wa Waswahili wasitukane.Aahaaaaa,wabongo tupo vizuri mitandaoni,ilo like wazi pamoja na ugumu wetu wa maisha hapa bongo
We jaribu kupitia ukurasa wa Shakhtar Donetsk utacheka upasuke aahaaaaa
Wabongo washamwambia admin kwamba kama anataka apate engagements kubwa basi Kila post awepo Mtanzania Miroshi
Ahaaaaaa no Miroshi no likes Wala retweets
Tena post zote wakizokomenti wabongo zimejaaaa
Ni noma aiseee
Aahaaaa,ni noma aiseeeWazigua walijaa kwenye Page ya Aston Villa na kuanza kushusha matusi baada ya Samatta kuwekwa benchi hadi Samatta akajitokeza kuomba msamaha Kocha, Wachezaji na management ya Aston Villa. Pia akawaomba wa Waswahili wasitukane.
Tanzania bei ya vifurushi vya bundle ipo chini sana ukilinganisha na nchi zingine kwa hiyo tuishukuru serikaliUkiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia
Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana
Na hapa namanisha likes,retweets na comments
Mpaka muda tunapokwenda mitamboni,ubao unasomeka hivi kwa upande wa likes kwa timu zote kumi na sita:
Yanga ana likes 7292, Simba 4577, Mamelodi 2885, TP Mazembe 2719, Jwaneng 1830, Medeama 1824, Al Ahyl 1746, Pyramid 1711, Wydad 1311, Asec Mimosas 1175, Al Hilal 1082, ESS Tunis 982, Atletico Petroleos 869, ESS Tunisia 800, CR Belouizdad 730 na aliyefunga orodha ni chama langu toka Mauritania FC Nouadhibou 448
Kimahesabu hapo admin wa CAF atapata maokoto mengi kupitia kuziposti habari za Simba na. Yanga hivyo hiyo pia ni njia nzuri kwa hivi vilabu viwili kuajulikana zaidi Kwa kuwa vitakuwa vinaandikwa zaidi kwani vinauchamgamsha sana ule ukurasa
Naomba Mungu Simba na Yanga zifike hata nusu fainali,hii itatupa muda mwingi wakujibrand
For more information Unaweza cheki viambata hapa chini.
View attachment 2770698View attachment 2770699
Wabongo wanazipenda Sana Yanga na SimbaMkuu soka la bongo limekua kutokana na uwekezaji, najiuliza Azama Fc anafeli wapi!!??
Pia wabongo wanapenda sana mpira.