Simba na Yanga: Tabiri mchezaji yoyote unayehisi atafunga Goli leo

Simba na Yanga: Tabiri mchezaji yoyote unayehisi atafunga Goli leo

Yanga ni underdog, unabisha?
underdog alikukojolesha kimoja

underdog alikurudishia goli 2 ndani ya dk 3

ama ulitaka sema ile doggystyle ya morison mkuu ndo yanga atawapa leo.
 
Kila siku sio ijumaa mzee...mpira una siku na siku. Huwezi kujua nani atapafom vizuri mechi kama ya leo ,mara nyingi mpira unakuwaga mbovu sana timu hizi zikikutana .
FB_IMG_1594538870479.jpg
 
Kila siku sio ijumaa mzee...mpira una siku na siku. Huwezi kujua nani atapafom vizuri mechi kama ya leo ,mara nyingi mpira unakuwaga mbovu sana timu hizi zikikutana .
kweli mkuu, leo ndo umejua mpira unadunda kwa miaka 4 hatukuwahi mpiga nyau ila mwaka huu wa 5 tunampiga mwaka mzima.

ila kwa mechi zote zilizo wakutanisha yanga na simba chama huwa anapotezwa mazima
 
Kwa Simba wanaoweza wakawa kwenye ubao wa matokeo ni;
Meddie Kagere
Zimbwe Jr
Miqquisonne

Kwa Yanga wanaoweza wakafunga ni;
Kaseke
Fei toto
Yondani
 
Kikosi cha Simba tayari ni kile kilichocheza na Azam ni wazi kocha atatumia mbinu zilezile Kapombe, Kennedy wameanza bench kuna Kagere,Miraj, Mzamiru, Dilunga, Kakolanya Deo Kanda hayupo hata benchi
 
Leo 12/07/2020 ni ile mechi inayosubiriwa kwa hamu, mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho, ambapo watani wa jadi wa Kariakoo, Simba Vs Yanga wanakutana katika mechi ngumu ya kumtafuta nani ataingia fainali.

Mimi naamini mechi hii itaisha ndani ya dakika 90, pia naamini kutakuwa na magoli ya kutosha.

Karibu tutatbiri, wachezaji gani leo watafunga magoli katika mechi hii, ili tuone nani ana bahati ya kuotea zaidi.

Mimi naamini kabisa John Bocco na Kahata watafunga leo kwa upande wa Simba wakati Lamine Moro na Kaseke nao watafunga kwa upande wa Yanga.

Karibu ulete ubashiri wako...
View attachment 1504253
Chama, boko na kahata.
Yanga atafunga moja, ambalo ni kaseke au molinga assist ya bm33
 
Back
Top Bottom