Shida yenu uwaga hamtaki kuambiwa ukweli, mleta mada amewasilisha hoja zake kiufundi sana, ameongelea vizuri mapungufu ya club/timu kiufundi kabisa, hata alipozitaja Yanga na Azam fc ametumia jicho lake vizuri kuona mbali.hatukatai Simba inao wachezaji wakubwa, na wako vizuri ukiangalia mchezaji mmoja mmoja, Ila kitimu, kisaiklogia, na kimbinu naungana na mleta Uzi kwamba Azam na Yanga japo wengi hamtaki kusikia hill wako njema bro, sana malengo flani wawapo uwanjani, hata kama timu zao zikiwa zimezidiwa uwanjani, bench I lao LA ufundi uja na plan nyingine ambazo huleta matokeo chanya, hill ndilo halichoona mleta Uzi kwa jicho lake LA kimchezo. Kama Simba atawezi kufanyia mapungufu take ambayo watu wa mpira wameyaonyesha wazi akiwemo mleta mada, basi walau itaambulia hata point 5 kwenye kundi lake wakati ikijipanga vilivyo kwa ajili ya msimu ujao. Otherwise muwatoe kafara wapenzi na mashabiki wenu si chini ya kumi kila mechi kama mlivyozoea. Nakupongeza sana mleta mada maana pamoja na kuwa Simba kindakikindaki, ila ukweli umeuona na umeueleza wazi. Simba Nguvu Moja in pamoja na kukubaliana na mapungufu uliyonayo na kuyarekebisha kwa ajili ya kuboresha, siyo kupinga tu bila akupaye changamoto. Ni hayo tu. Alafu mkuu Genta Sikh nyingine usiwape mbinu za kushinda hao jamaa zako uone watakavyoooga nyingi hapo hapo kwa mchina, ushauri wako ulioutoa kwa Nkana, nilikuvulia kofia, so kwa ulozi hule.