"Simba nguvu moja." Tujadiliane namna ya kuwaua Waarabu na kuongoza Kundi D

"Simba nguvu moja." Tujadiliane namna ya kuwaua Waarabu na kuongoza Kundi D

Acha Upuuzi Soma Uzi wangu wote kiukamilifu na uuelewe tafadhali. Acha Kukurupuka na kuwa na Kimbelembele kama Kimba la alfajiri.
wewe ndio kimbelembele mara nkana tutawafunga tukifanya hivi kwa maagizo ya mganga tatizo unajifanya unajua kila kitu na hutaki ukosolewe rudi kwenu rwanda
 
wewe ndio kimbelembele mara nkana tutawafunga tukifanya hivi kwa maagizo ya mganga tatizo unajifanya unajua kila kitu na hutaki ukosolewe rudi kwenu rwanda

Siyo Kosa langu bali ni " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer "
 
Mkuu tunashukuru kwa maoni yako, haya uliyoandika yote yanafanyiwa kazi

kuanzia kipa hadi staker, maana tuna nafasi zaidi ya tatu kwenye usajili

so atapatikana kipa, beki 1 wa kati na straker, pia simba wana lengo la kuchukua kiungo wa kusaidiana na jonas mkude

hadi hapo unaweza kuona kwamba mipango ya simba si ya kuishia hatua ya makundi
Kinachokera wanaruhusu sana magoli simba sasa hizo timu na washambuliaji wao walivyo timamu itakuwaje?
 
Kinachokera wanaruhusu sana magoli simba sasa hizo timu na washambuliaji wao walivyo timamu itakuwaje?

Kuna Watu wanadhani nimekurupuka tu hapa Kuuweka huo uwazi. Al Ahly, AS Vita Club na JS Saoura siyo Njombe Mji wala JKT Oljoro ambazo unajipigia tu unavyotaka. Ushindi wa Simba SC katika hizo Timu zote hapo ni Sare ( Draw ) tena hapa kwa Mchina Taifa ila huko Kwao tukienda itabidi tuwe tunafanya ' Shopping ' ya Vikapu pale Karume Ilala ili hayo Magoli tutakayokuwa tunafungwa huko tuwe tunayahifadhi humo.
 
Hivi ktk last 16 kuna timu ulitegemea s8mba itapewa alafu itakuwa mteremko kwa simba?
 
Kuna Watu wanadhani nimekurupuka tu hapa Kuuweka huo uwazi. Al Ahly, AS Vita Club na JS Saoura siyo Njombe Mji wala JKT Oljoro ambazo unajipigia tu unavyotaka. Ushindi wa Simba SC katika hizo Timu zote hapo ni Sare ( Draw ) tena hapa kwa Mchina Taifa ila huko Kwao tukienda itabidi tuwe tunafanya ' Shopping ' ya Vikapu pale Karume Ilala ili hayo Magoli tutakayokuwa tunafungwa huko tuwe tunayahifadhi humo.
Ulikuwa unapendekeza timu zipi zipangiwe na simba?
 
Ni Popoma / Mpumbavu tu ndiye atabisha na kujifanya anajitutumua kwa kusema kuwa Simba SC itafanya vizuri mbele ya Wapinzani wake katika Makundi Klabu Bingwa Afrika akina JS Saoura ya Algeria, AS Vita Club ya DRC na Al Ahly ya Misri ambalo Kwangu Mimi ndiyo naliona kama Kundi la Kifo ( au la Mauwaji kabisa )

Mtanisamehe wana Simba SC wenzangu najua ukweli wangu huu utakuwa mchungu Kwenu na utawaumeni mno ila mnivumilie tu na muupokee kama ambavyo huko nyuma nilikuwa nawapeni ukweli na matumaini katika mechi za ndani na hata ile ya Nkana Red Devil.

Hapa hatuna chetu tena kwa 100% ila nawaomba Simba SC waitumie hii michezo na hizo Timu kama sehemu ya Kuwatangaza vyema Wachezaji wetu ili basi waanze Kuonekana na Vilabu vikubwa ama vya Afrika hapa hapa au vile vya Ulaya kusudi tuwauze, tuingize Pesa na tusajili Wachezaji wapya wakubwa na wazuri.

Kwa sasa hivi hii Michuano tuichukulie kama sehemu yetu ya Kujifunza mambo mbalimbali na hasa kupata Uzoefu zaidi ili basi kama na Msimu huu tutabahatika Kuchukua Kombe la Ligi basi Michuano ijayo ya Klabu Bingwa tuingie huku tukiwa tumeshajikamilisha na kujiandaa kwa kila Kitu.

Tusidanganyane Simba SC ya sasa haina ubavu wa Kupambana na hizo Timu zote hapo juu hasa kutokana na sababu Kuu za Kiufundi. Kwa Simba SC ya Beki Pascal Serge Wawa, kwa Simba SC iliyokurupuka Kumsajili Beki Zana Coulibaly, kwa Simba SC yenye Kiungo kama James Kotei ambaye huwa anakata Upepo ( anaishiwa Pumzi ) haraka, kwa Simba SC ambayo ina Kipa Aishi Manula ambaye anafungwa aina ile ile ya Magoli ya Kizembe kabisa kama si ya Kitoto, kwa Simba SC ambayo Kipa wake wa akiba Deogratius Munishi ambaye hajielewi anafanya au anataka nini, kwa Simba SC ambayo ina Winga Shiza Kichuya ambaye Siku hizi Ushamba wote wa Morogoro umemtoka na Kumbi zote za Starehe za Dar anazijua, kwa Simba SC ya Mshambuliaji kama John Boko ambaye kama Mshambuliaji akikabwa tu njiani huwa hana Plan B na kwa Simba SC ambayo hadi hivi leo Kocha Patrick Aussems hana bado First Eleven yake na wala Msaidizi wake kamwe tusitegemee kufanya vyema katika Makundi.

Tunaoujua mpira vyema, Watoto wa mjini, Wazee wa Fitna na tuliocheza mpira kidogo hata kama huko Ligi Kuu hatukufika kwakuwa tulikuwa na Majukumu mengine ya Kimaisha na Kimtazamo kwa CAF kutupangia hizo Timu Nne ( 4 ) tusidanganyane wala kupeana Moyo ' Kingumbaru / Kijinga ' bali hapo ni rasmi Mbuzi ( SSC ) kafia kwa Wauza Supu Watatu mmoja wa Algeria ( Mwarabu ) , mwingine Mkongo na mwingine Mmisri ( Mwarabu )

Akili zetu sasa tuzielekeze mno katika Ligi Kuu ambayo nayo kwa jinsi ninavyoona kama tusipokuwa makini basi Yanga SC au Azam FC watachukua Kombe kwani Kimpira, Kimbinu, Kimkakati na hadi Kisaikolojia wapo vizuri sana kuliko Sisi Simba SC ambao muda mwingi tunakuwa tupo tu katika Presha na tusipotulia Msimu ujao kama kuna Kombe ambalo tutashiriki basi litakuwa ni la MBUZI MAPINDUZI CUP na UPUUZI SPORTS PESA CUP.

Yangu GENTAMYCINE ni hayo tu na mtanisamehe kwa wale ambao ukweli wangu huu utawaumiza ila muuchukue tu!

Nawasilisha.
Nakuelewa sana GENTAMYCINE ukweli na uwazi ndo unatakiwa HV...
 
n
Ni Popoma / Mpumbavu tu ndiye atabisha na kujifanya anajitutumua kwa kusema kuwa Simba SC itafanya vizuri mbele ya Wapinzani wake katika Makundi Klabu Bingwa Afrika akina JS Saoura ya Algeria, AS Vita Club ya DRC na Al Ahly ya Misri ambalo Kwangu Mimi ndiyo naliona kama Kundi la Kifo ( au la Mauwaji kabisa )

Mtanisamehe wana Simba SC wenzangu najua ukweli wangu huu utakuwa mchungu Kwenu na utawaumeni mno ila mnivumilie tu na muupokee kama ambavyo huko nyuma nilikuwa nawapeni ukweli na matumaini katika mechi za ndani na hata ile ya Nkana Red Devil.

Hapa hatuna chetu tena kwa 100% ila nawaomba Simba SC waitumie hii michezo na hizo Timu kama sehemu ya Kuwatangaza vyema Wachezaji wetu ili basi waanze Kuonekana na Vilabu vikubwa ama vya Afrika hapa hapa au vile vya Ulaya kusudi tuwauze, tuingize Pesa na tusajili Wachezaji wapya wakubwa na wazuri.

Kwa sasa hivi hii Michuano tuichukulie kama sehemu yetu ya Kujifunza mambo mbalimbali na hasa kupata Uzoefu zaidi ili basi kama na Msimu huu tutabahatika Kuchukua Kombe la Ligi basi Michuano ijayo ya Klabu Bingwa tuingie huku tukiwa tumeshajikamilisha na kujiandaa kwa kila Kitu.

Tusidanganyane Simba SC ya sasa haina ubavu wa Kupambana na hizo Timu zote hapo juu hasa kutokana na sababu Kuu za Kiufundi. Kwa Simba SC ya Beki Pascal Serge Wawa, kwa Simba SC iliyokurupuka Kumsajili Beki Zana Coulibaly, kwa Simba SC yenye Kiungo kama James Kotei ambaye huwa anakata Upepo ( anaishiwa Pumzi ) haraka, kwa Simba SC ambayo ina Kipa Aishi Manula ambaye anafungwa aina ile ile ya Magoli ya Kizembe kabisa kama si ya Kitoto, kwa Simba SC ambayo Kipa wake wa akiba Deogratius Munishi ambaye hajielewi anafanya au anataka nini, kwa Simba SC ambayo ina Winga Shiza Kichuya ambaye Siku hizi Ushamba wote wa Morogoro umemtoka na Kumbi zote za Starehe za Dar anazijua, kwa Simba SC ya Mshambuliaji kama John Boko ambaye kama Mshambuliaji akikabwa tu njiani huwa hana Plan B na kwa Simba SC ambayo hadi hivi leo Kocha Patrick Aussems hana bado First Eleven yake na wala Msaidizi wake kamwe tusitegemee kufanya vyema katika Makundi.

Tunaoujua mpira vyema, Watoto wa mjini, Wazee wa Fitna na tuliocheza mpira kidogo hata kama huko Ligi Kuu hatukufika kwakuwa tulikuwa na Majukumu mengine ya Kimaisha na Kimtazamo kwa CAF kutupangia hizo Timu Nne ( 4 ) tusidanganyane wala kupeana Moyo ' Kingumbaru / Kijinga ' bali hapo ni rasmi Mbuzi ( SSC ) kafia kwa Wauza Supu Watatu mmoja wa Algeria ( Mwarabu ) , mwingine Mkongo na mwingine Mmisri ( Mwarabu )

Akili zetu sasa tuzielekeze mno katika Ligi Kuu ambayo nayo kwa jinsi ninavyoona kama tusipokuwa makini basi Yanga SC au Azam FC watachukua Kombe kwani Kimpira, Kimbinu, Kimkakati na hadi Kisaikolojia wapo vizuri sana kuliko Sisi Simba SC ambao muda mwingi tunakuwa tupo tu katika Presha na tusipotulia Msimu ujao kama kuna Kombe ambalo tutashiriki basi litakuwa ni la MBUZI MAPINDUZI CUP na UPUUZI SPORTS PESA CUP.

Yangu GENTAMYCINE ni hayo tu na mtanisamehe kwa wale ambao ukweli wangu huu utawaumiza ila muuchukue tu!

Nawasilisha.
na wewe tumekuchoka kila siku hayohayo ,rejea thread yako dhidi ya NKANA ni mwendo wa kukatishana tamaa na timu ikatoboa..............sasa hivi umekuja na yaleyale,askari harudi nyuma kizembe katika mapambano mjomba,umeingia katika mapambano pambana na sio kuwakatisha tamaa wenzio aseeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhh
tatizo lako uchawi umeuweka mbele sana,uchawi ungekuwa unacheza basi NIGERIA ingebeba kombe la dunia na manyaunyau angekuwa kama MO au BAKHRESSA.........................


SIMBA NGUVU MOJA
 
Kawaaminishe hivyo wanaokumini we wa kawaida sana mbele ya simba huna lolote unajikweza tuu ili watu wajue we mjuaji wakati ni zero kabsa. Kwani simba hawezi kusajili/kuongezea wachezaji wazuri kama wanavyosajili hao unaowatukuza.
Ni Popoma / Mpumbavu tu ndiye atabisha na kujifanya anajitutumua kwa kusema kuwa Simba SC itafanya vizuri mbele ya Wapinzani wake katika Makundi Klabu Bingwa Afrika akina JS Saoura ya Algeria, AS Vita Club ya DRC na Al Ahly ya Misri ambalo Kwangu Mimi ndiyo naliona kama Kundi la Kifo ( au la Mauwaji kabisa )

Mtanisamehe wana Simba SC wenzangu najua ukweli wangu huu utakuwa mchungu Kwenu na utawaumeni mno ila mnivumilie tu na muupokee kama ambavyo huko nyuma nilikuwa nawapeni ukweli na matumaini katika mechi za ndani na hata ile ya Nkana Red Devil.

Hapa hatuna chetu tena kwa 100% ila nawaomba Simba SC waitumie hii michezo na hizo Timu kama sehemu ya Kuwatangaza vyema Wachezaji wetu ili basi waanze Kuonekana na Vilabu vikubwa ama vya Afrika hapa hapa au vile vya Ulaya kusudi tuwauze, tuingize Pesa na tusajili Wachezaji wapya wakubwa na wazuri.

Kwa sasa hivi hii Michuano tuichukulie kama sehemu yetu ya Kujifunza mambo mbalimbali na hasa kupata Uzoefu zaidi ili basi kama na Msimu huu tutabahatika Kuchukua Kombe la Ligi basi Michuano ijayo ya Klabu Bingwa tuingie huku tukiwa tumeshajikamilisha na kujiandaa kwa kila Kitu.

Tusidanganyane Simba SC ya sasa haina ubavu wa Kupambana na hizo Timu zote hapo juu hasa kutokana na sababu Kuu za Kiufundi. Kwa Simba SC ya Beki Pascal Serge Wawa, kwa Simba SC iliyokurupuka Kumsajili Beki Zana Coulibaly, kwa Simba SC yenye Kiungo kama James Kotei ambaye huwa anakata Upepo ( anaishiwa Pumzi ) haraka, kwa Simba SC ambayo ina Kipa Aishi Manula ambaye anafungwa aina ile ile ya Magoli ya Kizembe kabisa kama si ya Kitoto, kwa Simba SC ambayo Kipa wake wa akiba Deogratius Munishi ambaye hajielewi anafanya au anataka nini, kwa Simba SC ambayo ina Winga Shiza Kichuya ambaye Siku hizi Ushamba wote wa Morogoro umemtoka na Kumbi zote za Starehe za Dar anazijua, kwa Simba SC ya Mshambuliaji kama John Boko ambaye kama Mshambuliaji akikabwa tu njiani huwa hana Plan B na kwa Simba SC ambayo hadi hivi leo Kocha Patrick Aussems hana bado First Eleven yake na wala Msaidizi wake kamwe tusitegemee kufanya vyema katika Makundi.

Tunaoujua mpira vyema, Watoto wa mjini, Wazee wa Fitna na tuliocheza mpira kidogo hata kama huko Ligi Kuu hatukufika kwakuwa tulikuwa na Majukumu mengine ya Kimaisha na Kimtazamo kwa CAF kutupangia hizo Timu Nne ( 4 ) tusidanganyane wala kupeana Moyo ' Kingumbaru / Kijinga ' bali hapo ni rasmi Mbuzi ( SSC ) kafia kwa Wauza Supu Watatu mmoja wa Algeria ( Mwarabu ) , mwingine Mkongo na mwingine Mmisri ( Mwarabu )

Akili zetu sasa tuzielekeze mno katika Ligi Kuu ambayo nayo kwa jinsi ninavyoona kama tusipokuwa makini basi Yanga SC au Azam FC watachukua Kombe kwani Kimpira, Kimbinu, Kimkakati na hadi Kisaikolojia wapo vizuri sana kuliko Sisi Simba SC ambao muda mwingi tunakuwa tupo tu katika Presha na tusipotulia Msimu ujao kama kuna Kombe ambalo tutashiriki basi litakuwa ni la MBUZI MAPINDUZI CUP na UPUUZI SPORTS PESA CUP.

Yangu GENTAMYCINE ni hayo tu na mtanisamehe kwa wale ambao ukweli wangu huu utawaumiza ila muuchukue tu!

Nawasilisha.
 
Kama kawaida wa Kimaitaifa leo tumeshapangiwa group letu lenye timu kutoka Uarabuni moja na Congo moja.

Toa ushauri wako tufanyaje tuweze songa mbele katika hatua ya robo fainali na nusu na kisha kulichukua kombe zima tulilete Msimbazi

Karibuni wana SIMBA


Sent using Jamii Forums mobile app
! mbele ya AL-Arabs..!! SSC itashika mkia mrefuuuuu......Good luck kwa miujiza!!
 
Back
Top Bottom