Princepoul
Member
- Dec 12, 2018
- 10
- 3
Afrika husiposhinda nyumbani husitegemee kushinda ugenini hii inatokana na fitina za ugenini tofauti na wenzetu ulaya.
Hivyo kwa uwekezaji wa simba ilionao na aina ya wachezaji ilionao robo itafika kwa kushinda mechi zote nyumbani,kumbuka ni timu pekee ukanda huu kufika makundi.
Hata last year timu iliyoitoa simba shirikisho ilikuwa ni bora ndiyo maana nayo ilitolewa nusu fainali
Simba ni timu ya kiswazi sana unawezaje kulidharau kombe la FA ambalo lina umuhimu almost kama ligi kuu.Simba akati anamvua zamaleck ubingwa alikuwa mnyonge hivihivi
Unadharau bure tu mshindi wa hilo kombe analiwakilisha taifa, Simba ndio keshapotea hivyo mwakani mchanganiVipi na Yanga nasikia mmefuzu mmeingia kwenye hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ndondo cup..kutokana na droo iliyochezeshwa Group Z kuna timu za Yanga,Mashujaa,Lipuli na Tukuyu stars...kila la kheri wawakilishi wetu wa kimataifa yanga
Ligi ya mabingwa hatua ya makundi ni mwakani...mwaka gani huo unaosema watacheza mchanganiππππ....kwa hiyo ulitaka timu iwachezeshe wachezaji tegemezi kwenye hizo ndondo wapate majeruhi alafu timu ishindwe kucheza kimataifa vizuri....kikosi cha kwanza kimecheza tarehe 23 afu tarehe 26 kuna mechi tena ya ndondi...mlitaka kocha achezeshe kikosi kilekile yamekuwa maroboti yale hayachoki???Simba ni timu ya kiswazi sana unawezaje kulidharau kombe la FA ambalo lina umuhimu almost kama ligi kuu.
Kama sio upumbavu na ushamba ni nini. Na mwakani wanacheza mchangani ndio watashika adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukomae zaidi kwenye ligi kuu, tumeshafanya ulofa kwenye FA nafasi pekee iliyobaki ni ligi kuu ambayo nawapa Simba asilimia 30 kuchukua ubingwa.Yah kama kawa wa kimaitaifa Leo tumeshapangiwa group letu ambazo zna team kutoka uarabuni moja na wakongo moja .toa ushauri wako tufanyaje tuweze songa mbele katika hatua ya robo final nusu na kulichukua kombe zima tulilete msimbazi karibuni wana SIMBA note YANGA huhusiki hii ni kwa kimaifa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni nani anahisika na usajili, hivi anajua mpira kweliKwa beki hii hii ya paschal wawa na shabalala hatuendi popote, alafu ndio tumeingizwa cha kike kusajili yule mpka nywele rangi hkna lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anavyoiwakilisha nchi sahivi hatua ya makundi alishinda hilo kombe????kama usiposhinda hilo kombe basi wewe ni mchangani moja kwa moja sawa hata lililopita hakushinda sasa sjui sahivi yupo mchangani or matopeniUnadharau bure tu mshindi wa hilo kombe analiwakilisha taifa, Simba ndio keshapotea hivyo mwakani mchangani
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuwauwa Mashujaa ni nafasi moja ya kufanikiwa kuliwakilisha taifa. Kubali tu Simba tumebugi tena kudharau kombe la FASisi tuliwauwa nkana wewe chura au huna kumbukumbu?
Akili ya Simba inawaza Caf kaka mkubwaLakini kuwauwa Mashujaa ni nafasi moja ya kufanikiwa kuliwakilisha taifa. Kubali tu Simba tumebugi tena kudharau kombe la FA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah kama kawa wa kimaitaifa Leo tumeshapangiwa group letu ambazo zna team kutoka uarabuni moja na wakongo moja .toa ushauri wako tufanyaje tuweze songa mbele katika hatua ya robo final nusu na kulichukua kombe zima tulilete msimbazi karibuni wana SIMBA note YANGA huhusiki hii ni kwa kimaifa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
WajafilianeAngalia usije kuandika matusi.
Tukutane "TUJAFILIANE"! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
πππ halafu ulimisika ujue? Kweli Mashujaa si watu wazuri.Sisi tuliwauwa nkana wewe chura au huna kumbukumbu?
Jafiliana ndo nn JamanYanga itahusika vipi huko mnako Jafiliana?
Neno limetumika na mchanjiaji mmoja wa Simba. Nadhani yeye ndiyo anajua maana yake. Fuatilia post za awali na title utaona hilo neno
mchanjiaji = mchangiajiNeno limetumika na mchanjiaji mmoja wa Simba. Nadhani yeye ndiyo anajua maana yake. Fuatilia post za awali na title utaona hilo neno
Shida yenu uwaga hamtaki kuambiwa ukweli, mleta mada amewasilisha hoja zake kiufundi sana, ameongelea vizuri mapungufu ya club/timu kiufundi kabisa, hata alipozitaja Yanga na Azam fc ametumia jicho lake vizuri kuona mbali.hatukatai Simba inao wachezaji wakubwa, na wako vizuri ukiangalia mchezaji mmoja mmoja, Ila kitimu, kisaiklogia, na kimbinu naungana na mleta Uzi kwamba Azam na Yanga japo wengi hamtaki kusikia hill wako njema bro, sana malengo flani wawapo uwanjani, hata kama timu zao zikiwa zimezidiwa uwanjani, bench I lao LA ufundi uja na plan nyingine ambazo huleta matokeo chanya, hill ndilo halichoona mleta Uzi kwa jicho lake LA kimchezo. Kama Simba atawezi kufanyia mapungufu take ambayo watu wa mpira wameyaonyesha wazi akiwemo mleta mada, basi walau itaambulia hata point 5 kwenye kundi lake wakati ikijipanga vilivyo kwa ajili ya msimu ujao. Otherwise muwatoe kafara wapenzi na mashabiki wenu si chini ya kumi kila mechi kama mlivyozoea. Nakupongeza sana mleta mada maana pamoja na kuwa Simba kindakikindaki, ila ukweli umeuona na umeueleza wazi. Simba Nguvu Moja in pamoja na kukubaliana na mapungufu uliyonayo na kuyarekebisha kwa ajili ya kuboresha, siyo kupinga tu bila akupaye changamoto. Ni hayo tu. Alafu mkuu Genta Sikh nyingine usiwape mbinu za kushinda hao jamaa zako uone watakavyoooga nyingi hapo hapo kwa mchina, ushauri wako ulioutoa kwa Nkana, nilikuvulia kofia, so kwa ulozi hule.