"Simba nguvu moja." Tujadiliane namna ya kuwaua Waarabu na kuongoza Kundi D

huyu jamaa huwaga ni mburura sana aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhh mkuu,na mods wameona kathread kakikolo ndio maana wamekiunganisha huku wameshamstukia huyu bichwabox kama ni empty set
Huyu kolo ni pimbi [emoji817], anaongea as if Mpira unachezwa kitandani badala ya uwanjani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongezeni nguvu back four na mpeni muda wa kucheza salamba maana Boko anawacheleweshea ushindi, japo mi Yanga ila nimeona nafasi nyingi kama leo pasi nzuri Boko alipewa za kufunga akapoteza.
Mashindano ya kimataifa nafasi ni chache sana,so zinahitaji mtu awe shapu sana kama Babu Kagere
 
Hapa umeacha mzaha na umekuwa mwenye busara na hekima.
Yanga daima mbele.
Simba ushindi daima


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujuaji bro simba ni team ngum na tunaenda kuonesha hilo



team yenye uhakika wa kupata zaid ya goli 3 kwenye game 1 unasema haifiki popote



kuna team ilipewa team zote za ukanda huu na mwarabu mchovu mmoja tena kwenye federation...lakin hii team ilikua kibonde kundi zima sijui angekua kapewa kundi letu angefanyaje...nahis angechangisha wanachama wake hadi wa huku kwetu umarila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu zibariki timu za waarabu zisonge mbele kama kawa, SIMBA nawaombea mpigwe nyingi sana mrudi kuvuna pamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…