Simba ni Bora kuliko Yanga nje na ndani ya uwanja.

Simba ni Bora kuliko Yanga nje na ndani ya uwanja.

".....Simba Ina mashabiki wengi zaidi nchini kuliko Yanga. Simba inafuatiliwa zaidi mitandaoni kuliko Yanga kuanzia twitter, Instagram, Facebook, Whatsup, you name it.
emoji119.png
(Data zipo)_
emoji118.png
"


Weka hizo data hapa tuone la sivyo uzushi
Mkuu, hana data. Data bank yao ni Haji Manara. Akisema lolote hawapati muda wa kujiuliza. Ni kuamini tu
 
Yanga wababaishaji mno
Yanga inao uwezo wa kwenda mbele ya Simba na tumeshadhihirisha hilo kwa rundo la makombe tuliochukua almost 10 zaidi yenu. Sasa unawezaje kusema tunabahatisha kama kweli mzima kichwani wewe?

Sisi tunasubiri ukaribie mwisho wa msimu ndio tufanye yetu tupate kuandikwa kwa ile headline yetu pendwa....

upload_2017-10-16_13-44-50.jpeg


upload_2017-10-16_13-45-40.jpeg


upload_2017-10-16_13-46-44.jpeg
 
Yanga inao uwezo wa kwenda mbele ya Simba na tumeshadhihirisha hilo kwa rundo la makombe tuliochukua almost 10 zaidi yenu. Sasa unawezaje kusema tunabahatisha kama kweli mzima kichwani wewe?

Sisi tunasubiri ukaribie mwisho wa msimu ndio tufanye yetu tupate kuandikwa kwa ile headline yetu pendwa....

View attachment 610498

View attachment 610499

View attachment 610500

Timu ya nchi hyo ubabaishaji tuu

Simba ndo chama la wana japo haipewi nafasi ila ipo siku mtaiona international
 
Simba na Yanga ni timu zenye upinzani mkubwa.
Lakini Maelezo haya yanaweza kukuonyesha ni kwa namna gani hali zao halisi zilivyo nje ya uwanja.

Yanga haina app, wala tovuti yake binafsi.Simba wanazo.

Simba inanufaika na Majengo yake mawili mtaa WA msimbazi kwa kupata kodi ya kifedha kariakoo na msimbazi kiasi cha shilingi Mili350.

Yanga jengo lake la jangwani ni ofisi. Hivyo Haipati pesa yoyote.

Simba inanufaika na Biashara ya jezi.kupitia kampuni ya AiG.

Yanga haina biashara yoyote. Inategemea Makada zaidi.[emoji125][emoji23]

Simba Ina mashabiki wengi zaidi nchini kuliko Yanga. Simba inafuatiliwa zaidi mitandaoni kuliko Yanga kuanzia twitter, Instagram, Facebook, Whatsup, you name it.[emoji119](Data zipo)_[emoji118]

Simba IPO vizuri kiusajili kwasababu wana pesa[emoji383] . yanga ni wachovu sana.[emoji23].

Labda kitu pekee ambacho YANGA inaizidi Simba ni UWANJA.

Yanga wana Uwanja wao wakufanyia training ulioko Mjini. Simba wanao uwanja LAKINI upo nje ya mji.

Notabene.
Viwanja hivi viwili bado havisogei kwa uwanja Bora WA Azam FC.

Source TV 1
Kwa mazingira haya, Timu ya Simba ina thamani, hivyo ni ghali Zaidi kuliko Yanga.
Tv1?
 
Timu ya nchi hyo ubabaishaji tuu

Simba ndo chama la wana japo haipewi nafasi ila ipo siku mtaiona international
Haipewi nafasi? Mmekaa mnasubiri kupewa? Kumbe Manara hakuwa anatania kudai points za Kagera Sugar 'mpewe' nyinyi ilhali mmekung'utwa 2-1 uwanjani?!!!

Internationally, hicho kilabu chenu cha sokoni ni 'mama wa nyumbani' maana Simba Koko hajawahi kuvuka mpaka na kombe...labda msubiri mkoa wa Zanzibar utakapopata hadhi ya kuwa nchi.
 
Back
Top Bottom