Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Utajua hujui.. subir tarehe 24.. Makolo wote mtakalia dadeqKauli pekee inayoweza kutunzwa ni ya JAKAYA KIKWETE na SUNDAY MANARA ndiyo wenye akili na sio ya kwako kwasababu huna akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua hujui.. subir tarehe 24.. Makolo wote mtakalia dadeqKauli pekee inayoweza kutunzwa ni ya JAKAYA KIKWETE na SUNDAY MANARA ndiyo wenye akili na sio ya kwako kwasababu huna akili.
Kwani kwenye hatua ya makundi hadi alipofika hapa alikuwa hachezi ugenini? South anatoboa vizuri tu maana approach za mchezo zipo nyingi.Issue si kushinda hiko kigoli kimoja Cha mchongo.. issue huko SA ataweza kutoboa kweli na huo Mpira alionao..?
Hana record za kushinda. Basi tufanye safari hii atashinda kwa mara ya kwanza 😁Kwani kwenye hatua ya makundi hadi alipofika hapa alikuwa hachezi ugenini? South anatoboa vizuri tu maana approach za mchezo zipo nyingi.
Ingia uwanjani ulinde ushindi wako kwanza. Wakisawazisha unafunguka ili nao wajilinde wasiruhusu goli.
Hiyo ni advantage ya kwenda penalty ambayo yeyote atakayetumia penati vema anafuzu.
Kweli kabisa.Nchi itafikia dunia ya kwanza kama tukiwa na vijana kama nyinyi