Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujafikia misimu 4 mlopigika nyieFuraha wataipata wapi! Misimu miwili mfululizo wamekosa hata lile kombe la bonanza la Mapinduzi!
Furaha iko kwa wananchi bhana.
Timu moja na@gentamycine?Furaha wataipata wapi! Misimu miwili mfululizo wamekosa hata lile kombe la bonanza la Mapinduzi!
Furaha iko kwa wananchi bhana.
Labda gogoro la Jangwani la wachezaji mlihamishie kwetu...Kifupi Simba kuna gogoro kuuuubwa ajabu!!! nami ninawahakikishia kuwa moto utawaka soon.
Umekula kweli mkuu!Hali yao ni ngumu sana, hebu watizame usoni utagundua hili
Kwamba Yanga imekuwa maskini ghafla? Sasa ndio msajili akina Mkude na Kibabage?Heri maskini mwenye afya njema kuliko tajiri mgonjwa.
Hali yao ni ngumu sana, hebu watizame usoni utagundua hili
ScraperUna uhakika? Mkude si ametambulishwa?
ule usajili wenu wa Chama umeishia wapi ukishanijibu ndio nitajibu utumbo ulioandikaSimba ni vuluvulu Sasa hivi, hakuna anaeaminika kwa lolote kwa chochote. Jamii imeacha kuamini kila taarifa kutoka Simba Sasa hivi. Taarifa zao nyingi ni fix, Zina uingo.
Hakuna kiongozi wa Yanga amesema Chama anasajiliwa na Yanga.ule usajili wenu wa Chama umeishia wapi ukishanijibu ndio nitajibu utumbo ulioandika
.Hali yao ni ngumu sana, hebu watizame usoni utagundua hili