Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Na Ngoma ka dis apia eyapoti.

Na atofautishe Jumuia ya Kiarabu na OIC. Zanzibar Wala Tanzania haijawahi kua na ndoto ya namna hiyo.
Nilikuwa nasubiri mtu anikosoe kwenye hilo ilikuwa ni kauli ya kupima watumiaji wa JF ni kina nani, nashangaa imechukua siku mbili mtu kujitokeza kunirekebisha. Haya, Tanzania ni nchi ya kiislamu?
 
Nilikuwa nasubiri mtu anikosoe kwenye hilo ilikuwa ni kauli ya kupima watumiaji wa JF ni kina nani, nashangaa imechukua siku mbili mtu kujitokeza kunirekebisha. Haya, Tanzania ni nchi ya kiislamu?
Nashindwa nianzie wapi. Nahisi kama nitajichosha Bure. Lakini hata hivyo, kwa ufupi sana, Tanzania si nchi ya Kiarabu Wala si nchi ya Kiislamu.
Enhe ndugu ulitaka kujenga hoja gani tukusaidie?
 
Nashindwa nianzie wapi. Nahisi kama nitajichosha Bure. Lakini kwa ufupi sana, Tanzania si nchi ya Kiarabu Wala si nchi ya Kiislamu.
Sahihi kabisa na wala usijichoshe kujielezea ila elewa kwa nini niliuliza hilo swali
 
Soma post ya kwanza, nimesema specifically timu za kaskazini na pia nikasema mechi za mtoano, sasa nashangaa mnataja djibouti na hatua ya makundi.

Na si kweli Somalia na Djibouti hazijawahi kutambulika kama nchi za kiarabu.
na ukasema kabisa kombe la looser
 
Zezeta mwingine huyu...😀😀
 
23.Masandakolouzdadi
 
Mpira ulianza kushabikia lini ?,2008 yanga vs al akhdar ya libya mechi ilichezwa libya ikaisha 1-1 na marudiano taifa tukafungwa 1-0
 
Naweka tu rekodi sawa. Kuna timu wangefanya hili wangeweka mabango mji mzima.
Mwaka 2008 shirikisho al akhdar ya libya vs yanga mechi ilikua tripoli 1-1 na marudiano taifa yanga 0-1 al akhdar
 
Naweka tu rekodi sawa. Kuna timu wangefanya hili wangeweka mabango mji mzima.
Mwaka 2008 shirikisho al akhdar ya libya vs yanga mechi ilikua tripoli 1-1 na marudiano taifa yanga 0-1 al akhdar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…