Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Nakurudisha kwenye mstari maana unasema naleta mada bila kufikiri, na mimi nataka kukuonyesha nilijua mtataja hatua za makundi na vinchi hivyo ambavyo kwa sababu ya njaa vimejiunga jumuiya za kiarabu ila kiuhalisia siyo na ni nchi ambazo hazijawahi kuwa tishio katika mpira wa Afrika. Scars alijaribu kufafanua hoja yangu jana ila ndiyo hivyo uelewa wenu bado ni duni.

Unataka nitumia Google, ukiingia huko Google na Quora utaona waarabu wenyewe wanakwambia sababu za nchi kama Somalia na Djibouti kukubaliwa na kwa nini nchi zingine ambazo zinakidhi hivyo vigezo kuliko hizo nchi kama Chad na Mauritania zimekataliwa. Ndiyo maana nakwambia ukiwa mpole naweza kukupa tuition. Tanzania bila Nyerere kuingilia kati ingekubaliwa huko, bado swali langu liko pale pale, je sisi ni waarabu?

Kumbe hata Scars hukumuelewa, wewe kwa akili yako ulijua anakuunga mkono kwa uzi wako kumbe wala hajakubaliana na hoja yako kuwa Simba ndio timu ya kwanza kucheza away dhidi ya timu ya kiarabu.

Njoo tumalize ubishi kwenye mechi iliyofanyika October 8 mwaka 2022 mechi ya CAFCC kati ya Azam vs Al Al akhdar

Je Azam ilianzia wapi home au away?
Je Al Al akhdar ni timu inayotokea nchi gani?
Jibu swali kama ulivyoulizwa ili uone ulivyokurupuka kuanzisha uzi usiofanya utafiti kabla ya ku post.
 
Kumbe hata Scars hukumuelewa, wewe kwa akili yako ulijua anakuunga mkono kwa uzi wako kumbe wala hajakubaliana na hoja yako kuwa Simba ndio timu ya kwanza kucheza away dhidi ya timu ya kiarabu.

Njoo tumalize ubishi kwenye mechi iliyofanyika October 8 mwaka 2022 mechi ya CAFCC kati ya Azam vs Al Al akhdar

Je Azam ilianzia wapi home au away?
Je Al Al akhdar ni timu inayotokea nchi gani?
Jibu swali kama ulivyoulizwa ili uone ulivyokurupuka kuanzisha uzi usiofanya utafiti kabla ya ku post.
Alitoa ufafanuzi ulio sahihi kuhusu kile nilichotaka kusema. Inaonyesha watu wanakurupuka kujibu hoja bila kuelewa mleta mada anataka kusema nini, akiwemo yule mpuuzi aliyekuwa ananifundisha kuwa rank za CAF zinatumika kuamua nani aanze nyumbani, na ndiyo msingi wa hoja yangu kama uliielewa vizuri.

Kama mpaka sasa inabidi nijielezee kwa hili, tuna tatizo kubwa kuliko nilivyokuwa nafikiri. Hoja zangu ukiziingia kichwa kichwa unapotea mazima unabaki kusema naleta hoja za hovyo.
 
Alitoa ufafanuzi ulio sahihi kuhusu kile nilichotaka kusema. Inaonyesha watu wanakurupuka kujibu hoja bila kuelewa mleta mada anataka kusema nini, akiwemo yule mpuuzi aliyekuwa ananifundisha kuwa rank za CAF zinatumika kuamua nani aanze nyumbani, na ndiyo msingi wa hoja yangu kama uliielewa vizuri.

Kama mpaka sasa inabidi nijielezee kwa hili, tuna tatizo kubwa kuliko nilivyokuwa nafikiri. Hoja zangu ukiziingia kichwa kichwa unapotea mazima unabaki kusema naleta hoja za hovyo.
Jibu maswali uliloulizwa

Mechi ya Azam vs Al Al akhdar ilikuwai ni mechi ya mashindano gani?
Azam alianzia wapi nyumbani au ugenini?
Al Al akhdar ni timu inayotokea nchi gani?
Je hiyo mechi ilikuwa ni ya mtoano au sio ya mtoano?
Uwezo wa kujibu maswali kama yalivyoulizwa pia ni kielezo cha kujua uwezo wa akili wa mtu. Jibu hayo maswali kama ulivyoulizwa usizunguke zunguke.
 
Jibu maswali uliloulizwa

Mechi ya Azam vs Al Al akhdar ilikuwai ni mechi ya mashindano gani?
Azam alianzia wapi nyumbani au ugenini?
Al Al akhdar ni timu inayotokea nchi gani?
Je hiyo mechi ilikuwa ni ya mtoano au sio ya mtoano?
Uwezo wa kujibu maswali kama yalivyoulizwa pia ni kielezo cha kujua uwezo wa akili wa mtu. Jibu hayo maswali kama ulivyoulizwa usizunguke zunguke.
Maswali yangu hauyajibu unataka ujibiwe yako.

Hata hiyo hoja ya Azam, jibu langu lipo katika post ya kwanza kama ukiisoma vizuri. Sipost kitu bila kuwaza wakulungwa mtakujaje na huwa naandika kwa nia ya kuwachokonoa hadi mjae.
 
Maswali yangu hauyajibu unataka ujibiwe yako.

Hata hiyo hoja ya Azam, jibu langu lipo katika post ya kwanza kama ukiisoma vizuri. Sipost kitu bila kuwaza wakulungwa mtakujaje na huwa naandika kwa nia ya kuwachokonoa hadi mjae.
Katika post ya kwanza umechemka mzee na umekurupuka.
Nanukuu mashudu yako:[emoji116]

"Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini."

1) Azam kaishacheza na timu kutoka Libya na Azam ikaanzia ugenini vile vile.
2) Hatua aliyocheza Azam dhidi ya hiyo timu kutoka Libya ni hatua ya mtoano vile vile

Hakuna cha maana ulichoandika kafute pale ulipoandika haijawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu kutoka Libya.
 
Katika post ya kwanza umechemka mzee na umekurupuka.
Nanukuu mashudu yako:[emoji116]

"Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini."

1) Azam kaishacheza na timu kutoka Libya na Azam ikaanzia ugenini vile vile.
2) Hatua aliyocheza Azam dhidi ya hiyo timu kutoka Libya ni hatua ya mtoano vile vile

Hakuna cha maana ulichoandika kafute pale ulipoandika haijawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu kutoka Libya.
Soma tena utaona maneno niliyoandika kujilinda iwapo kama timu hiyo ipo, unadhani kwa nini niliweka maneno hayo? Tulia punguza muhemko.
 
Belouzidad tulianza nao vipi last season kwenye makundi? Alafu mabango kazi yake kubwa kuwakera makolo last season tulipga 5, 5 timu nyingi ila nyie ndio mliowekwa kwenye mabango
Hawa mlioanza nao kwenye makundi sio mtoano
 
Pamoja na kwamba rank za CAF zinaibeba Simba inapokuja mijadala kuhusu hadhi ya Simba, bado kuna watu wamekuwa wanabisha kuhusu hilo.

Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini.

Ubora wa timu kwa kuangalia rank ndiyo unaotumiwa na CAF kwenye upangaji wa ratiba na kuamua nani aanze ugenini na nani aanze nyumbani.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

adriz changaule
Uzuri ni kwamba rank haitaa ibaki hivyo milele. Kumbuka, mnashuka badala ya kupanda.

Hopeless
 
Pamoja na kwamba rank za CAF zinaibeba Simba inapokuja mijadala kuhusu hadhi ya Simba, bado kuna watu wamekuwa wanabisha kuhusu hilo.

Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini.

Ubora wa timu kwa kuangalia rank ndiyo unaotumiwa na CAF kwenye upangaji wa ratiba na kuamua nani aanze ugenini na nani aanze nyumbani.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

adriz changaule
Simba ni moto wa kuotea mbali...
 
Timu ya taifa ya Libya ikicheza na katimu kenu kale kanakochana mikeka ya watu kila siku, mnapigwa nje ndani.

Deportivo de Utopolo wangepangwa na hawa hawa, mechi ya kwanza ingekuwa TZ
Kwamba wangepangwa na yanga wangeanzia Tanzania? Kwani wao na yanga nani yupo juu kwenye rank pengine wewe unajua zaidi yetu ebu tuambie!
 
Yani Yanga ni mazezeta...group stage una uhakika wa kucheza mechi zaidi ya 3 hivyo unaweza kujipanga..yani unataka uende kwa waarabu kichwa kichwa wako full house..
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Kwa jinsi mlivyokua mna mpambaaa? Mmmh kuna tatizo mahala huko kidimbwi FC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hoja sio kwamba ni mchezaji mbaya, tena kawakosa nyingi ila umeona uarabu wake ulipo?
 
Hoja sio kwamba ni mchezaji mbaya, tena kawakosa nyingi ila umeona uarabu wake ulipo?
Yaani kabisa umekaa ukatulia ukaja na hoja hiyo? Kwani mama yenu anavyowapa pesa za magoli kina Pacome na Dube ni Watanzania wale? Serikali ilivyotoa ndege kuwasafirisha kina Mayele na Diarra na kuwakaribisha Ikulu ni watanzania wale?
 
Yaani kabisa umekaa ukatulia ukaja na hoja hiyo? Kwani mama yenu anavyowapa pesa za magoli kina Pacome na Dube ni Watanzania wale? Serikali ilivyotoa ndege kuwasafirisha kina Mayele na Diarra na kuwakaribisha Ikulu ni watanzania wale?
Libya ni mojawapo ya nchi za Kiarabu zilizo na mchanganyiko mkubwa wa waarabu na blacks. Tulipokua tunazungumzia nchi za Kiarabu zilizo na viwango vikubwa vya soka wala Libya haikuwa mmojawapo wa hizo nchi. Kwa sasa mnaipa sifa ya nchi ya Kiarabu ili kuonesha mcheza na timu kubwa, ila hayo ni mashindano ya walioshindwa kwenye nchi zao.
 
Libya ni mojawapo ya nchi za Kiarabu zilizo na mchanganyiko mkubwa wa waarabu na blacks. Tulipokua tunazungumzia nchi za Kiarabu zilizo na viwango vikubwa vya soka wala Libya haikuwa mmojawapo wa hizo nchi. Kwa sasa mnaipa sifa ya nchi ya Kiarabu ili kuonesha mcheza na timu kubwa, ila hayo ni mashindano ya walioshindwa kwenye nchi zao.
Tumewazoea kusogeza goli, hamjifunzi kauli zenu huwa kila siku zinakuja kuwahukumu nyie wenyewe. Mnasema mashindano ya walioshindwa ila mlivyopata medali za shaba mlikenua meno yote pale jukwaani utadhani nyie ndiyo mnaenda kuinua makwapa. Hata Al Ahly wana kina Pecy Tau na Wydad walikuwa na kina Modesta je waliacha kuwa klabu za waarabu?

Eti Libya imeacha kuwa nchi ya kiarabu kisa ina mchanganyiko na weusi, kazi kweli kweli. Halafu mwenzio anadiriki kuitaja Djibouti na Somalia nchi mbili zilizo na kiwango cha chini zaidi ya Libya kisoka kisa zimejiunga vijumuiya vya waarabu kwa sababu za kisiasa na kiuchumi na kisa mlicheza na vilabu vyao mkavifunga.

Embu kaeni chini mje na hoja inayoeleweka na mjifunze kuwa na akiba ya maneno.
 
Waliokuwa wanapiga kelele "Mabululu Mabululu...mnapenda kukutana na Mabululu!" siyo nyie? Leo Mabululu amekuwa useless?
Hawa hawana jema. Wanaongeaga kwa kupitiliza mwisho wa siku kauli zao wenyewe zinarudi kuwatafuna, halafu hawajifunzi.
 
Baada ya kagoma Kugoma , Magoma kasema Yanga ni mazezeta.
Na Ngoma ka dis apia eyapoti.
Jumuiya ya kiarabu huwezi kujiunga hivi hivi bila vigezo na pia kuwa taifa la kiarabu huwa kuna mambo kadhaa ni lazima 1) kutumia lugha ya kiarabu (2) mila na utamaduni (3) Race

Somalia na Djibouti wanatumia kiarabu kama lugha yao rasmi.
Wasomali wanatumia kisomali na kiarabu.
Djibouti wanatumia kifaransa, kiarabu.

Na jambo la mwisho nimekwambia kuwa tarehe 8/10/2022 Azam alicheza ugenini huko huko Libya dhidi ya Al akhdar hivyo Simba sio ya kwanza umekurupuka kama kawaida yako kuanzisha mada sizizo na maana.
Na atofautishe Jumuia ya Kiarabu na OIC. Zanzibar Wala Tanzania haijawahi kua na ndoto ya namna hiyo.
 
Back
Top Bottom