Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Soma post ya kwanza, nimesema specifically timu za kaskazini na pia nikasema mechi za mtoano, sasa nashangaa mnataja djibouti na hatua ya makundi.

Na si kweli Somalia na Djibouti hazijawahi kutambulika kama nchi za kiarabu.

Ni swala la ratiba ila hakuna kitu cha ajabu hapo, kwenye klabu bingwa kuna timu kutoka huko kaskazini ambazo Yanga imeizidi point na kama draw ingekuwa dhidi yao basi Yanga ingeanzia ugenini. Timu hizo ni Pyramids, Far Rabat, Mc Alger, Monastir, Al Ahly Benghazi.

Somalia na Djibouti ni inchi za kiarabu usiwe mbishi wakati hujui na hutaki kujifunza.

IMG_20240916_000058.jpg
 
Soma post ya kwanza, nimesema specifically timu za kaskazini na pia nikasema mechi za mtoano, sasa nashangaa mnataja djibouti na hatua ya makundi.

Na si kweli Somalia na Djibouti hazijawahi kutambulika kama nchi za kiarabu.
Tarehe 8/10/2022
Azam alianzia ugenini dhidi ya timu kutoka huko huko Libya kwenye mashindano hayo hayo ya CAFCC dhidi ya Al akhdar sasa sijui kwanini ulikurupuka kusema Simba ndio timu ya kwanza Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya kaskazini.
 
Nilitalajia ungemuelimisha huyu maamuma lakini na wewe unaleta ushabiki huku ukijuwa wazi kuna wajinga sasa wanashusha credibility ya JF.

Utaratibu wa kuanzia away uko wazi kabisa inashangaza mtu kujiita mwanamichezo halafu hajui CAF wanatumia vigezo gani.
Hujaelewa alichomaanisha

Sababu kuu ya yeye kusema hivyo ni kutokana na utofauti wa madaraja kati yetu na waarabu.

Waarabu ni mataifa ambayo yametuacha mbali kwenye soka na kwa miaka mingi tumekuwa chini yao.

Na kwakuwa CAF wanapanga match kwa kumpa advantage mkubwa ya kuanzia ugenini basi mara nyingi kila tulipokutana na timu za uarabuni sisi tulianzia nyumbani.

Sasa kitendo cha Simba kuanzia ugenini kimeonesha moja kwa moja kuwa Simba imekuwa ni Club kubwa ambayo imeweza kupewa heshima mbele ya wale waarabu ambao siku zote tumekuwa chini yao.
 
Hujaelewa alichomaanisha

Sababu kuu ya yeye kusema hivyo ni kutokana na utofauti wa madaraja kati yetu na waarabu.

Waarabu ni mataifa ambayo yametuacha mbali kwenye soka na kwa miaka mingi tumekuwa chini yao.

Na kwakuwa CAF wanapanga match kwa kumpa advantage mkubwa ya kuanzia ugenini basi mara nyingi kila tulipokutana na timu za uarabuni sisi tulianzia nyumbani.

Sasa kitendo cha Simba kuanzia ugenini kimeonesha moja kwa moja kuwa Simba imekuwa ni Club kubwa ambayo imeweza kupewa heshima mbele ya wale waarabu ambao siku zote tumekuwa chini yao.
Umeandika porojo tupu, swali Simba na wale Waarabu wa Libya nani mwenye rank kubwa?

Ukijibu hilo swali tueleze je kwa kanuni za Caf Simba walipaswa waanzie nyumbani au away?

Wameanzia away kwa kupewa heshima au kwa mujibu wa kanuni?
 
Mbumbumbu mna kiwango kidogo cha kumbukumbu Geita Gold kipindi wanacheza shirikisho kwenye hatua za awali walizanzia away na timu ya Sudan, pia Azam FC walianzia away na timu ya Libya sijui kuna kipya gani
 
Azam FC walianza Libya wakapigwa 3 bila kisha wao wakashinda 2 bila
 
Simba imeamua kutoa suluhu na waarabu kwasababu zake za kiusalama. Hali ya kiusalama nchini libya bado si shwari na waarabu jana walikuwa na hasira sana endapo wangefungwa hali ingekuwa mbaya zaidi.

Kazi inaakuja kuisha kwa mkapa InshAllah
 
Duu haya nao mafanikio, basi viongozi wapongezwe kwa hili.Halafu kesho timu isipo chukua chochote viongozi wataonekana hawana maana,wakati wamefanikisha hili.
 
Belouzidad tulianza nao vipi last season kwenye makundi? Alafu mabango kazi yake kubwa kuwakera makolo last season tulipga 5, 5 timu nyingi ila nyie ndio mliowekwa kwenye mabango
Umeambiwa mtoano wewe unaleta habari za makundi,utopolo kweli wenye akili ni wawili.
 
Mello angeweka hata ka interview kafupi kabla ya kujiunga JF..

Maana watu wana post vitu tu kwa mihemko.
 
Wewe ni kilema wa akili mashindano ya ndondo nani aangalie
Ila mlipofika fainaili, mkaandaliwa na sherehe ya kupongezwa kwa kuvaa medali na mkapiga makelele mji mzima. Kweli nyani hauni kundule.
 
Back
Top Bottom