Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

Afadhali umemjibu, nilipata kauzito fulani. Kama wanajumlisha magoli ya ligi tena ya misimu tofauti kutengeneza aggregate hauwezi kushangaa akisema hicho alichosema.
Team Mabululu ni kuwasamehe. Wengi walikuwa wanashadadia bila hata kumwona akicheza. Mie kocha nimemwelewa aliitaka sare anawajua waarabu. Hii sio timu ya CBE wala IFM😂
 
Yanga alianzia ugenini dhidi ya waarabu wa Sudan kaskazini wanaojulikana kwa jina la Zalan
 
Pamoja na kwamba rank za CAF zinaibeba Simba inapokuja mijadala kuhusu hadhi ya Simba, bado kuna watu wamekuwa wanabisha kuhusu hilo.

Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini.

Ubora wa timu kwa kuangalia rank ndiyo unaotumiwa na CAF kwenye upangaji wa ratiba na kuamua nani aanze ugenini na nani aanze nyumbani.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

adriz changaule
Uongo mkavu huo; mwaka jana Yanga ilianzia Algeria dhidi ya CR Belouizdad
 
Bora Mungu akunyime vyote lakini sio akili na maarifa. Zifuatazo ni mataifa yaliyopo chini ya union of Arab football associations (UAFA)

1)Qatar
2)Saudi Arabia
3) Iraq
4) Syria
5) Tunisia
6) Egypt
7) Morocco
8) Algeria
9) United Arab Emirates
10) Oman
11) Lebanon
12) Jordan
13) Bahrain
14) Mauritania
15) Palestine
16) Libya
17) Sudan
18) Comoros
19)Yemen
20) Kuwait
21) South Sudan
22) Djibouti
23) Somalia

Je kabla ya Simba haicheza leo, hakuna timu yoyote ya Tanzania iliyoanzia ugenini dhidi ya timu kutoka Somalia, Sudan, South Sudan, Comoro au Djibouti?

We jamaa kichwa chako ni cha kubebea mzigo pekee, una nyuzi za watoto wa chekechea.
 
Bora Mungu akunyime vyote lakini sio akili na maarifa. Zifuatazo ni mataifa yaliyopo chini ya union of Arab football associations (UAFA)

1)Qatar
2)Saudi Arabia
3) Iraq
4) Syria
5) Tunisia
6) Egypt
7) Morocco
8) Algeria
9) United Arab Emirates
10) Oman
11) Lebanon
12) Jordan
13) Bahrain
14) Mauritania
15) Palestine
16) Libya
17) Sudan
18) Comoros
19)Yemen
20) Kuwait
21) South Sudan
22) Djibouti
23) Somalia

Je kabla ya Simba haicheza leo, hakuna timu ya Tanzania iliyoanzia ugenini dhidi ya timu kutoka Somalia, Sudan, South Sudan, Comoro au Djibouti?

We jamaa kichwa chako ni cha kubebea mzigo pekee, una nyuzi za watoto wa chekechea.
Ukoo wa mbumbumbu
 
Yanga alianzia ugenini dhidi ya waarabu wa Sudan kaskazini wanaojulikana kwa jina la Zalan
Halafu ungechelewa kidogo tu kuna uto angekuja kuitaja. Zalan si wanatokea hapo kaskazini mwa Uganda tu?
 
makolo kumbukeni hapa mnaongelea kombe mliokua mnaliita kombe la looser,nawakumbusha tu maana msijizimishe data
 
makolo kumbukeni hapa mnaongelea kombe mliokua mnaliita kombe la looser,nawakumbusha tu maana msijizimishe data
Anayejizima data sasa ni nani hapo? Nani alikuwa wa kwanza kutamka maneno hayo?
 
Pamoja na kwamba rank za CAF zinaibeba Simba inapokuja mijadala kuhusu hadhi ya Simba, bado kuna watu wamekuwa wanabisha kuhusu hilo.

Leo namaliza mjadala huu kwa kusema kuwa katika historia ya mpira wa Tanzania hatua ya mtoano, hakujawahi kutokea timu ya Tanzania kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Waarabu kutoka Afrika Kaskazini, hii ya Simba na Al Ahly Tripoli ni mara ya kwanza. Kama hilo limewahi kutokea niambie ni lini.

Ubora wa timu kwa kuangalia rank ndiyo unaotumiwa na CAF kwenye upangaji wa ratiba na kuamua nani aanze ugenini na nani aanze nyumbani.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

adriz changaule
Hivi wewe ni mjinga kiasi hiki? Al Ahaly umeshawahi kuona wanaanzia nyumbani?

Kuanzia away maana yake timu uliyopangwa nayo unaizidi rank za CAF.
 
Yanga ingepangwa na hao hao Al Ahly, nani angeanzia nyumbani?
Kwa hiyo point ni kuwa wa kwanza kuanzia ugenini dhidi ya warabu au yanga kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Libya?
Any way katika rank za CAF , yanga ni ya 13 na Al ahly tripoli ni ya 31, Sasa sijui nani angeanzia nyumbani
 
Yanga alianzia ugenini dhidi ya waarabu wa Sudan kaskazini wanaojulikana kwa jina la Zalan
Nilitalajia ungemuelimisha huyu maamuma lakini na wewe unaleta ushabiki huku ukijuwa wazi kuna wajinga sasa wanashusha credibility ya JF.

Utaratibu wa kuanzia away uko wazi kabisa inashangaza mtu kujiita mwanamichezo halafu hajui CAF wanatumia vigezo gani.
 
Kwa hiyo point ni kuwa wa kwanza kuanzia ugenini dhidi ya warabu au yanga kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Libya?
Any way katika rank za CAF , yanga ni ya 13 na Al ahly tripoli ni ya 31, Sasa sijui nani angeanzia nyumbani
Huyu ukipitia thread zake hapa jukwaa la michezo utagunduwa kichwa yake ina mushkeli siyo bure.

Leo Yanga ipangwe na timu za Kenya au Uganda haiwezi kuanzia nyumbani lazima ianzie ugenini imeziacha mbali kwa rank na utaratibu mwenye rank kubwa anaanzia ugenini.
 
Sudan, Somalia, Djibouti ni mataifa ya kiarabu hayo
Soma post ya kwanza, nimesema specifically timu za kaskazini na pia nikasema mechi za mtoano, sasa nashangaa mnataja djibouti na hatua ya makundi.

Na si kweli Somalia na Djibouti hazijawahi kutambulika kama nchi za kiarabu.
 
Back
Top Bottom