Simba Queens Mabingwa CECAFA, kushiriki CAF Champions

Simba Queens Mabingwa CECAFA, kushiriki CAF Champions

Simba si timu kubwa na haijawahi kuwa timu kubwa si Kwa Afrika au Tanzania. Timu zote kubwa Afrika zimetwaa kikombe Cha Afrika. Hakuna timu kubwa Afrika kwasasa eti ianzishe tamasha wawaalike Simba.
Wakati Wenyewe Simba wanajitutumua waonekane wakubwa, uhalisia unakataa kufika robo fainali Afrika timu nyingi zimeisha fanya hivyo hususani Yanga.
Yanga wenyewe ata awa ringi Wala kujitutumua.

Yanga imecheza back-to-back Caf champion league 1969, 1970 wakati Simba imetoka kuitwa queen [emoji146] Kuja Sunderland ata jina la Simba bado awajalipata.

1995 wakina Maalim salehe(Romalio), Anur Awadh, Silvatus Ibrahim n.k vijana wadogo, wapya wanaipeleka Yanga robo fainali kombe la washindi barani Afrika wakati Yanga wametoka Kuvunja kikosi Chao Cha kina Kizota, lunyamila, Athman China, Godwin Aswile n.k wote kufukuzwa na kwenda Simba.

1998 Yanga Wana cheza Caf Champion league quarter final baada ya kuwatoa Rayon Sports.
Rayon iliyokua bingwa mtetezi wa Afrika Mashariki na kati Kwa wakati huo Rayon Yakina Hamad Ndikumana, Nseko Seif, Ndikumana Manfique Kenya Brueries anakufa 1-0 final ya cecafa 1998.
Yanga Wana cheza quarter final ya confederation 2016 Kwa kuwatoa waitara dicha ya Ethiopia.
Sisi Yanga Wala haturingi na hatujiiiti timu kubwa Afrika kwakua hatuna kikombe Cha Afrika.
Tumewafunga Ahly apa Taifa, tumekwenda Kwa Ahly tukamlazimisha mbaka kwenye Matuta bahati mbaya Said bahanuzi akatuangusha Kwa kukosa mkwaju muhimu wa kihistoria.
Tukaenda Tena na Kocha Hans plujin pale Cairo mpila ulipigwa mwingi mbaka mwarabu anaomba poo tukapoteza dk za nyongeza Kwa goli 2-1 alafu atujiiti timu kubwa Wala haturingi.
Simba mnajiita timu kubwa Kwa kikombe kipi !!!

Kwa hapa bongo tunawaburuza Kila siku kuanzia vikombe vya ubingwa mbaka matokeo ya Uwanjani Sasa uwo ukubwa wa mchongo mnautoa wapi!!
Ao wasudani wamewaalika kwakua nanyi mliwahi kuwaalika ila si Kwa ukubwa wa timu kwakua atawao hawana ukubwa.

Ukubwa aulazimishwai unakuja wenyewe
Kwani sisi apa Bongo tunalazimisha!! Situnawatandika nyie Mbumbumbu fc na kutwaa vikombe na ndio maana Sisi Yanga ni wakubwa, wakubwa halisi wa matokeo ya Uwanjani.[emoji2][emoji2][emoji2]
Ni bora huu muda wa kuandika mgazeti ungelala tuu. Wenzako wenye akili huwaoni humu
 
... Simba ambayo ilisheheni wachezaji wengi wa kimataifa. Kwangu Mimi She corporate bila ya mchezaji wa kigeni wao ni washindi.
Haiwezekani wengine wachezeshe wageni na wengine wasiwe na wageni. Inabidi tupeleke malalamiko CAS maana TFF na CECAFA yupo Karia
 
[emoji471][emoji471][emoji881][emoji881]
IMG-20220828-WA0223.jpg
 
Simba Ili eneo wanatakiwa waongeze nguvu ya kuwekeza kule kiumeni watapata vidonda vya tumbo maana Yanga tunaendelea kuwa buruza tunavyotaka.
Sisi Yanga kwasasa nguvu zetu tumewekeza kiumeni baadae tutakuja uko kikeni kuchukua vikombe vyetu.
Eti vikombe vyenu , mlishawahi kuchukua kikombe gani cha kike? 🤣🤣
 
Timu kutoka Uganda She corporate wamejitahidi kwakua wameshiriki Kwa mara ya kwanza na wamecheza fainali Tena wamecheza na Simba ambayo ilisheheni wachezaji wengi wa kimataifa.

Kwangu Mimi She corporate bila ya mchezaji wa kigeni wao ni washindi.
Kwa upande wa Simba wamesajili wachezaji wengi wa kimataifa ila hii fainali imeonyesha kocha anatakiwa afanye kitu chaziada ki ufundi kwakua anakwenda kwenye mashindano makubwa.
FagV0uJWIAIkYnX.jpeg
 
Simba si timu kubwa na haijawahi kuwa timu kubwa si Kwa Afrika au Tanzania. Timu zote kubwa Afrika zimetwaa kikombe Cha Afrika. Hakuna timu kubwa Afrika kwasasa eti ianzishe tamasha wawaalike Simba.
Wakati Wenyewe Simba wanajitutumua waonekane wakubwa, uhalisia unakataa kufika robo fainali Afrika timu nyingi zimeisha fanya hivyo hususani Yanga.
Yanga wenyewe ata awa ringi Wala kujitutumua.

Yanga imecheza back-to-back Caf champion league 1969, 1970 wakati Simba imetoka kuitwa queen [emoji146] Kuja Sunderland ata jina la Simba bado awajalipata.

1995 wakina Maalim salehe(Romalio), Anur Awadh, Silvatus Ibrahim n.k vijana wadogo, wapya wanaipeleka Yanga robo fainali kombe la washindi barani Afrika wakati Yanga wametoka Kuvunja kikosi Chao Cha kina Kizota, lunyamila, Athman China, Godwin Aswile n.k wote kufukuzwa na kwenda Simba.

1998 Yanga Wana cheza Caf Champion league quarter final baada ya kuwatoa Rayon Sports.
Rayon iliyokua bingwa mtetezi wa Afrika Mashariki na kati Kwa wakati huo Rayon Yakina Hamad Ndikumana, Nseko Seif, Ndikumana Manfique Kenya Brueries anakufa 1-0 final ya cecafa 1998.
Yanga Wana cheza quarter final ya confederation 2016 Kwa kuwatoa waitara dicha ya Ethiopia.
Sisi Yanga Wala haturingi na hatujiiiti timu kubwa Afrika kwakua hatuna kikombe Cha Afrika.
Tumewafunga Ahly apa Taifa, tumekwenda Kwa Ahly tukamlazimisha mbaka kwenye Matuta bahati mbaya Said bahanuzi akatuangusha Kwa kukosa mkwaju muhimu wa kihistoria.
Tukaenda Tena na Kocha Hans plujin pale Cairo mpila ulipigwa mwingi mbaka mwarabu anaomba poo tukapoteza dk za nyongeza Kwa goli 2-1 alafu atujiiti timu kubwa Wala haturingi.
Simba mnajiita timu kubwa Kwa kikombe kipi !!!

Kwa hapa bongo tunawaburuza Kila siku kuanzia vikombe vya ubingwa mbaka matokeo ya Uwanjani Sasa uwo ukubwa wa mchongo mnautoa wapi!!
Ao wasudani wamewaalika kwakua nanyi mliwahi kuwaalika ila si Kwa ukubwa wa timu kwakua atawao hawana ukubwa.

Ukubwa aulazimishwai unakuja wenyewe
Kwani sisi apa Bongo tunalazimisha!! Situnawatandika nyie Mbumbumbu fc na kutwaa vikombe na ndio maana Sisi Yanga ni wakubwa, wakubwa halisi wa matokeo ya Uwanjani.[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwann unalia???
 
Kama sikosei kwenye ligi ya mabinti msimu huu uliomalizika, Princess ilimfunga Queens

Lakini pamoja na wao kushinda, wamefika wapi kwenye level za kimataifa?

Na timu yenu ya wavulana nayo hivyo hivyo, inajisifu kumfunga Simba lakini katika record za kimataifa hamtambuliki halafu mna mind eti mnataka na nyie mpewe mualiko

Kwa fikra zenu hizi siwafichi yani mna miaka mingi mbele ya ku3ndelea kutupa lawama kwa TFF na kusema Simba inapendelewa

Na venye hamja ajiri wasomi kwa kuwapa sauti wazee ndio mtazidi kupoteana, wazee wenu wana zeeka vibaya yani kitu kidogo tu wanashauri muandamane kwa mama
Lait Yanga ingekuwa na juhudi kimataifa kama Simba naamini mpira wa Tz ungekuwa mbali sana hope hata CL ingeshatua hapa Tz
 
Back
Top Bottom