Simba Queens Mabingwa CECAFA, kushiriki CAF Champions

Ni bora huu muda wa kuandika mgazeti ungelala tuu. Wenzako wenye akili huwaoni humu
 
... Simba ambayo ilisheheni wachezaji wengi wa kimataifa. Kwangu Mimi She corporate bila ya mchezaji wa kigeni wao ni washindi.
Haiwezekani wengine wachezeshe wageni na wengine wasiwe na wageni. Inabidi tupeleke malalamiko CAS maana TFF na CECAFA yupo Karia
 
Simba Ili eneo wanatakiwa waongeze nguvu ya kuwekeza kule kiumeni watapata vidonda vya tumbo maana Yanga tunaendelea kuwa buruza tunavyotaka.
Sisi Yanga kwasasa nguvu zetu tumewekeza kiumeni baadae tutakuja uko kikeni kuchukua vikombe vyetu.
Eti vikombe vyenu , mlishawahi kuchukua kikombe gani cha kike? 🤣🤣
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwann unalia???
 
Lait Yanga ingekuwa na juhudi kimataifa kama Simba naamini mpira wa Tz ungekuwa mbali sana hope hata CL ingeshatua hapa Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…