OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Kwa hii comment unahitaji kupata tiba ya ubongoKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Kwani wewe ni Aisha Madinda! Mbona kama umekasirika.
Bado propaganda yao ya unbeaten haijaexpire wakimaliza hiyo kampeni tayari wameshamaliza hela zote za bahasha huku Simba Sc ameshakunja 10 billion CAF kwa wanawake na wanaume...View attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Kitu inakiili Hawa nisimba sio masoft yanga ni vilaza periodView attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
View attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Vema kuchunga mdomo wakoHuu uzi umejaa makolo,sisi wa timu nyengine tukiongea tunaonekana wavunja amani
UNAJITOA AKILI WW NGURUWE. KOCHA EMIL ALIWAWEZEAKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Hilo goli hata mbuni fc hamjawahi wafunga hahahaa. Hayo makombe unayosema wenzio mpaka wameyachoka. Rudi tu misimu mitano nyuma ilikuwaje na wala hatueingiKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Umeandika kwa uchunguuuu!π π π π πMikia fc kelele nyingi sana wakati mashindano yenyewe mnapita kwa kengekewa tu.
Subirini makundi yapangwe vibonde nyie mkasindikize wengine.
Utopolo kweli hamnaga akili kama manara alivyosema..ndo maana mnatukanwa kila sikuKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Unepaniki broKwani wewe ni Aisha Madinda! Mbona kama umekasirika.
cassava fc unazungumzia makundi ya nzige?Mikia fc kelele nyingi sana wakati mashindano yenyewe mnapita kwa kengekewa tu.
Subirini makundi yapangwe vibonde nyie mkasindikize wengine.