Simba Queens mechi 3 milioni 460, Yanga mechi 30 milioni 600

Simba Queens mechi 3 milioni 460, Yanga mechi 30 milioni 600

Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?

Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!

Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Bora ungepita kimya kimya tu ndugu. Ebu rudia kusoma huu upupu uliondika!
 
View attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.

Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.

Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Mo amekusikia hizo zingine zilikua gelesha tu
 
Inawezekana soka umeanza kushabikia leo, kabla ya kufika hapo wameshinda ligi, wameshinda cecafa au hizo huhesabu kama ni mechi.
 
images - 2022-11-02T222151.366.jpeg

Sisi tumepanda huku juu kileleni mwa ligi kuna baridi.
 
Bado propaganda yao ya unbeaten haijaexpire wakimaliza hiyo kampeni tayari wameshamaliza hela zote za bahasha huku Simba Sc ameshakunja 10 billion CAF kwa wanawake na wanaume...
Hakuna pesa Simba anayokunja hivyo vipesa vyote anasomba kemcho mudi na demu wake babra,Simba wanachoambulia Ni mshahara choo, I mean kulipwa mishahara tu, hata miundombinu Ina jina lake mo arena ,mo boxing atc, hata afya za wachezaji wao Ni mbovu mcheki tshabalala utafikiri anakula ugoro,
Nyie endeleeni na makundi yenu yasiyo na kikombe na. Hapa ndani huna kombe hata kusingizia.
Pia hii UNBEATEN inawauma mno ,hii inaweza kuvunja record ya dunia ya mechi 1000 UNBEATEN
Tuje kwenye ishu ya bahasha jibu maswali yafuatayo
1. Aisha manula like fataki la ki Aziz alihongwa aachie?
2.Yanga aliwahonga Azam ili wamfunge Simba au aliwahonga Simba ili wafungwe na Azam
3.Yanga aliwahonga kmc watoke droo na Simba au aliwahonga Simba ili watoke droo na kmc,
Wakati unajibu fikiria hicho kichwa ulipewa Cha Nini na pia una uhakika kichwa chako kimejaa Nini ndani yake.
 
View attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.

Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.

Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Hizi hesabu kama mtu anakula mihogo hawezi kukuelewa
 
Personally I like the lack of noise in Tanzanian women’s football.

It’s just pure football, isn’t it? No evil propaganda, no wasemaji and their shenanigans, no chawas (well, certainly not as many). Pure football!
20221107_054025.jpg
 
Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?

Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!

Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Najua unaumia,jikaze mkuu....yatapita
 
Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?

Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!

Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Bora ungenyamaza tuu sio lazima kila kitu ujibu maana ukweli unauma. Huo ubingwa Simba aliuchukua miaka 4 mfululizo sasa nyie ndo wa kwanza? Shida hapa ni nyie kula hizo pesa wanazokula watani wenu kwny hizo robo fainal zake.
 
Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?

Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!

Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Dah! Hii comment umeupiga mwingiiii
 
Mikia fc kelele nyingi sana wakati mashindano yenyewe mnapita kwa kengekewa tu.
Subirini makundi yapangwe vibonde nyie mkasindikize wengine.
Mlidhani Florentina atakwepo CAF.
Mihogo fc malizaneni kwanza na sherehe za unbeaten kwanza ndo tuongee na nyie
 
Mihogo inachemka hapo kwenye maji ya chumvi
Tulizeni mshono nyinyi mkia fc leo muone mpira unavyochezwa hatuangalii historia ya timu. Ushindi leo ni lazima iwe mvua iwe jua
 
Raha ya kila shabiki ni kuona timu yake ikiibuka na makombe.
 
Back
Top Bottom