Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Bora ungepita kimya kimya tu ndugu. Ebu rudia kusoma huu upupu uliondika!Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Casava fc daah hawa watakoma kwa majinahaaaa,,awajakuelewa hawa Casava f.c embu waambie warudie kusoma tena!
Someni hapa nyumbu f.c[emoji116]
Mo amekusikia hizo zingine zilikua gelesha tuView attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Hakuna pesa Simba anayokunja hivyo vipesa vyote anasomba kemcho mudi na demu wake babra,Simba wanachoambulia Ni mshahara choo, I mean kulipwa mishahara tu, hata miundombinu Ina jina lake mo arena ,mo boxing atc, hata afya za wachezaji wao Ni mbovu mcheki tshabalala utafikiri anakula ugoro,Bado propaganda yao ya unbeaten haijaexpire wakimaliza hiyo kampeni tayari wameshamaliza hela zote za bahasha huku Simba Sc ameshakunja 10 billion CAF kwa wanawake na wanaume...
Hizi hesabu kama mtu anakula mihogo hawezi kukuelewaView attachment 2408503
Kupanga ni kuchagua.
Nimeona nilinganishe Mihogo FC na Simba Queens kwa sababu zawadi ya Simba Sc Senior kule group stage au nusu fainali ni balaa. Ni mara mbili ya NBC kwa mechi 4 tu, yaani Pep Mgunda amecheza mechi 4 tayari ana 1.2b.
Nasema tena kupanga ni kuchagua. Asanteni sana mliopanda hii mbegu, Mo Dewji na wenzio kwenye Bodi
Wewe huli mihogo?Hizi hesabu kama mtu anakula mihogo hawezi kukuelewa
Najua unaumia,jikaze mkuu....yatapitaKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Bora ungenyamaza tuu sio lazima kila kitu ujibu maana ukweli unauma. Huo ubingwa Simba aliuchukua miaka 4 mfululizo sasa nyie ndo wa kwanza? Shida hapa ni nyie kula hizo pesa wanazokula watani wenu kwny hizo robo fainal zake.Kwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Mimi nimetolea tu mfano. ☹️Bora ungenyamaza tuu sio lazima kila kitu ujibu maana ukweli unauma. Huo ubingwa Simba aliuchukua miaka 4 mfululizo sasa nyie ndo wa kwanza? Shida hapa ni nyie kula hizo pesa wanazokula watani wenu kwny hizo robo fainal zake.
Dah! Hii comment umeupiga mwingiiiiKwani hata ukija kwenye kufunga goli! Lipi tamu? Lile la kulitafuta kwa muda mrefu, au muda mfupi?
Imagine mpira unatoka kwa Diarra, anampasia Bangala! Bangala anampelekea Kibwana Shomari! Kibwana Shomari anapelekea Aucho! Aucho anampasia Fei Toto kwenye njia!! Fei Toto anafumua shuti kali la umbali wa mita 30!! Aisha kushtuka, ameshapigwa bao!!
Watu wanapeleka mpira kati. Hongereni sana Yanga kwa kupata Makombe yote muhimu ya Ligi msimu uliopita. Kwa kweli mnastahili pongezi! Ni tofauti kabisa na Makolo wanao sherehekea mafanikio ya dada zao.
Hapa mihogo inakaangwa chaaaaaaa kwenye mafuta. Mihogo FCDah! Hii comment umeupiga mwingiiii
Mlidhani Florentina atakwepo CAF.Mikia fc kelele nyingi sana wakati mashindano yenyewe mnapita kwa kengekewa tu.
Subirini makundi yapangwe vibonde nyie mkasindikize wengine.
Mihogo inachemka hapo kwenye maji ya chumviHapa mihogo inakaangwa chaaaaaaa kwenye mafuta. Mihogo FC
Tulizeni mshono nyinyi mkia fc leo muone mpira unavyochezwa hatuangalii historia ya timu. Ushindi leo ni lazima iwe mvua iwe juaMihogo inachemka hapo kwenye maji ya chumvi