Waliwahi KUSHINDA na njaa. 😂🤣Ni bahati mbaya ww mtu yani unabeza kisa upuuzi..hao Simba si wameshakuwa mabingwa wa CECAFA hiyo Yanga wamewahi nini kushinda...
Simba msimu huu wamevurunda sana kalpama sijui shida ni kocha au uongozi mule ndani hili sio la kufumbia machoNi bahati mbaya ww mtu yani unabeza kisa upuuzi..hao Simba si wameshakuwa mabingwa wa CECAFA hiyo Yanga wamewahi nini kushinda...
Achana nae huyo,mwanamme mzima kaanza kushabikia Yanga Mwaka Jana.Ni bahati mbaya ww mtu yani unabeza kisa upuuzi..hao Simba si wameshakuwa mabingwa wa CECAFA hiyo Yanga wamewahi nini kushinda...
Walianza vzr sana msimu sijui tatizo nini...Simba msimu huu wamevurunda sana kalpama sijui shida ni kocha au uongozi mule ndani hili sio la kufumbia macho
Hata wewe...🙄🙄🙄Waliwahi KUSHINDA na njaa. 😂🤣
Sio Yanga princess? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mgunda na mgosi ni wakati Sasa wawajibike.msimu huu Jkt wanaweza kurejea kwenye usukani
ShangaaaSio Yanga princess? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤔🤔Nimefanyaje sasa mie ndugu yanguHata wewe...🙄🙄🙄
Kwenye football inatokea, wapewe muda msimu huu ionekane mwenendo wao, inatokeaga kuanza msimu vibaya.Mgunda na mgosi ni wakati Sasa wawajibike.msimu huu Jkt wanaweza kurejea kwenye usukani
Quality ya wachezaji wale mi naamini shida itakuwa iko kwenye uongozi masuala ya maslahi n.k na unajua wanawake morali ikishuka huwa haipandi kirahisiKwenye football inatokea, wapewe muda msimu huu ionekane mwenendo wao, inatokeaga kuanza msimu vibaya.
Yanga huwa siipi kabisa kwenye league ya wanawake Bora niwape Ciasia queensSio Yanga princess? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]