Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bocco...Sar....Wakujipodoa....Inonga....
Wewe ulitaka habari ipi?Hii nayo ni habari? Mbona Bocco hayupo na timu muda mrefu?
Hivi mnawaonaje mashabiki wenu? Tangu January Boko anachukua kozi ya ukocha. Leo Tangu asubuhi mmeweka watu roho juu kisa Thank you ya Boko?
Wanadivert attention za wanathimba, wajumbe wa bodi wamejiuzuru halafu amewateuwa tena kwa nini hakukataa kujiuzuru kwao?Hivi mnawaonaje mashabiki wenu? Tangu January Boko anachukua kozi ya ukocha. Leo Tangu asubuhi mmeweka watu roho juu kisa Thank you ya Boko?
Aende wapi wakati yupo na timu ya vijana muda mrefu?John Boko.
Ni striker ambaye nampa heshima zote.
Alikuwa amekamilika Kwa kila kitu ambacho striker anatakiwa kuwa nacho.
Namtakia kila la heri kwenye team nyingine aendako.
Au katika career nyingine atayoamua ku deal nayo
Tafadhali mi sio mbumbumbu.Aende wapi wakati yupo na timu ya vijana muda mrefu?
Huyu Kanjibahi anawafanya nyinyi mambumbumbu kweli.
Vip tunaenda na Mangungu au MoJamaa kala mshahara wa bure wa miezi zaidi ya 6. Bado tusubiri tuone Manula naye atakula mshahara wa bure wa miezi mingapi huku akiendelea na mishe zake
Mimi sipo kwenye siasa za mpiraVip tunaenda na Mangungu au Mo