Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Sasa unajivunia kutolewa na river. Mzee wa Nyuma mwiko.Rivers ilikuwa timu ya Nne kwenye msimamo na tena point difference ya 3 na anayeongoza ligi
Kwahyo unawafananisha Wazanzibar na Nigeria kwenye mpira mkuu
Shame on you
Na hiki kikosi chako cha leo ungeweka wachezaji wa Sub ulikuwa unafungwa goli za kutosha
Timu imejaa wavunja kuni watupu
Rivers hana tofauti yoyote na Mlandege Fc, wewe hukuona ile Plateau Fc ya Nigeria aliyekuwa anaongoza ligi alichofanywa na Simba Sc???Rivers ilikuwa timu ya Nne kwenye msimamo na tena point difference ya 3 na anayeongoza ligi
Kwahyo unawafananisha Wazanzibar na Nigeria kwenye mpira mkuu
Shame on you
Na hiki kikosi chako cha leo ungeweka wachezaji wa Sub ulikuwa unafungwa goli za kutosha
Timu imejaa wavunja kuni watupu
Sio wewe tu ambaye huna mbavu, feisal leo alivua shati naye tumemuona hana mbavu kama wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... mkuu sina mbavu, iyo ni dakika ya ngap goli limepatikana?
Sasa unajivunia kutolewa na river. Mzee wa Nyuma mwiko.
Mwambie huyo kibogoyo. Jamaa ni bonge la ndezi. Simba ni timu ya wasomi. Yanga ni timu wachawi na akina Mzee mpili.Rivers hana tofauti yoyote na Mlandege Fc, wewe hukuona ile Plateau Fc ya Nigeria aliyekuwa anaongoza ligi alichofanywa na Simba Sc???
Tupo kwa hili la timu ya mlandege kwa kumuwekea full kikosi na kutoa nae sare huku kwenye msimamo ikiwa ni timu ya 10Kwani yanga mnavyojiita "wakimataifa" hua mna maanisha nini, Kama mnaanza kujiengua kwenye hizo rank baada ya kupokea vipigo?
Mbavu utazitoa wapi na hiyo miko yenu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... mkuu sina mbavu, iyo ni dakika ya ngap goli limepatikana?
Simba tulienda Nigeria tukashinda 1-0 dhidi ya Plateu!Unaongea kuhusu nchi ya Nigeria ambayo miaka iende irudi wanacheza Afcon, Chan na World cup
Unaongea kuhusu nchi ambayo ina wachezaji zaidi ya 500 wanacheza soka nje ya Bara la Afrika
Unaongea kuhusu nchi ambayo ina academy za soka nyingi kuliko nchi yeyote barani Afrika
Unaongea kuhusu nchi ambayo kwenye viwango vya soka barani Afrika ipo kwenye 10 bora
Ok! Tuje tuizungumzie kisiwa cha Zanzibar chenye timu ya mlandege iliyopo nafasi ya 10 bila udhamini wowote kwenye msimamo na ikatoa sare na Simba iliyotia Full mkoko
Mwiko nao ni tusi, seriously?Hivi wana Simba wenzangu hatuwezi kujadili hoja bila kutaja taja maneno machafu? Inakuwaje mnapendelea kutamka maneno yasiyofaa kwa kiwango hichi?
Mzee maswali yangu unayakimbiaTupo kwa hili la timu ya mlandege kwa kumuwekea full kikosi na kutoa nae sare huku kwenye msimamo ikiwa ni timu ya 10
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee maswali yangu unayakimbia
Nimekuuliza umri wako.
Umewahi kujinyea!?
Nashangaa wakati lipo kwenye logo yao.Mwiko nao ni tusi, seriously?
Wale waliowaingiza kipindi cha pili ndio usajili mpya au tusubiri maana tumepigwa mchana kweupe!Sio wewe tu ambaye huna mbavu, feisal leo alivua shati naye hana mbavu kama wewe
Mzee punguza ushuzi.Wale waliowaingiza kipindi cha pili ndio usajili mpya au tusubiri maana tumepigwa mchana kweupe!
simba nguvu yetu moja
Mirinda nyeusi yetu moja
Simba ni club yenye mipango inafanya mambo kisomi na ndio maana masnitch wanabaki dilemaWale waliowaingiza kipindi cha pili ndio usajili mpya au tusubiri maana tumepigwa mchana kweupe!
simba nguvu yetu moja
Mirinda nyeusi yetu moja
Samahani mkulungwa.Kuwa na heshima!
Kama kutumia hayo maneno mwiko, kabwili fc, mpalange fc, tigo fc n.k inawasaidia kupunguza masononeko mliyonayo basi endeleeni, ila mnaonesha dalili zote za watu waliyokata tamaa na timu yao ndio maana mmetafuta njia mbadala ya kupata comfortMwiko nao ni tusi, seriously?