Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hata mechi za mapinduzi GSS anaweka pesa kwa wapinzani ni hatari sana.
Hizi rafu ni za mchongo wa pesa kabisa.
Goli moja? Labda. Goli 2 No. Hawa mlandegw wanakaba vizuri. Simba hawana washambuliaji wazuriHili gemu simba anashinda goli mbili trust me
Majamaa wanacheza sana mpira wa kihuni,kuna yule beki anayekunja mguu jezi anacheza sana rafu mbaya ,alianza kwa Sakho na akapata kadi ,akamchezea tena Mzamiru angepata kadi ya njano ya pili
Jf kuna wachambuzi wazuri sana.Goli moja? Labda. Goli 2 No. Hawa mlandegw wanakaba vizuri. Simba hawana washambuliaji wazuri
tayari mkuu anaupigaHakuna sub yoyote ya wachezaji waanaotakiwa kujaribiwa? Weka mnigreia hapo tumuone hizi dakika za lala salama.
hakuna daliliHili gemu simba anashinda goli mbili trust me
Kumbe kuna mechi unayoangalia huko yenye wachezaji pungufu?Kwahiyo jamaa wapo pungufu ila bado hakuna goli?? Simba kunani huko??
Kwahiyo ungekuwa Pablo ungempa kandarasi?Huyu moukoro ana ulimbo mguuni au ??
hakuna pungufuKwahiyo jamaa wapo pungufu ila bado hakuna goli?? Simba kunani huko??
Mmh mimi huyo nilishamalizana nae na sikui wanaomkubali wanashawishika na nini.Kibu anakosa nafasi ya wazi hapa
SanaJf kuna wachambuzi wazuri sana.
Unasema? Siangalii hui mechi leo, anaupiga?Udoh ni mzuri