Hii Morocco ya Magomeni ndio sijaielewa kabisa, next season wasirudie kosa kusajili wachezaji wenye majina mabaya wakidhani ndio indication ya uwezoWe si unaona hadi Inonga aliamua amsindikize kabisa nje ili kuonyesha kuwa Mayele alikuwa mchumba tu mleπ.
Ooh morocco ,ooooh Mayele....ooooh Auchoo...oooh Djuma minduku tu wale hamna lolote.
Topolo tuliaSasa mbona unaleta utani wa kweli we kolo
Hicho kikosi cha kuinyanyasa Simba Sc kama mlivyokuwa mnatamba kiko wapi? Shida yenu mnaaminishwa ujingaπ .Maajabu hayaishi duniani! Yaani Klabu inayoshika " Namba 5 kwa ubora Afrika" inafurahia sare!!
Kwani waliokuwa wanachapwa na yanga ilikuwa ni Simba ya aina gani? Mbona unauwezo mdogo sana wa kufikirika? Yaani mashabiki wa Simba imefikia hatua ya kuingia uwanjani kama underdog siku hizi.Sasa yanga kwa simbaaaa hii mmeshindwa kutuchapa
Hakuna sehemu niliyotukana mkuu, nilichokitaja ni kiungo ambacho kila mtu anacho, na nimeandika kwa reverse.Ushabiki na kutaniana bila matusi inawezekana mkuu
Sasa anateleza kwani ile pitch imewekwa majani ya mlenda pale?Huwezi fananisha kamwe onyango hafiki hata leo ajafanya ku kaba ni vile mayele anateleza anachukua mpira sio kukaba vile
π π π πHivi aucho alikuwepo?
Mayele vipi leo?Duuhhh...kuna kipindi nilikuwa nasema na mpira uishe tu,ile second half ilikuwa ngumu kwa Yanga yangu [emoji15][emoji15][emoji15]
Baada ya Barcelona, Liverpool,ManCity, inafuata yanga kolo mkubwa weweTopolo tulia
Fyoko fyoko tarehe 11 na mayele atakuwepo, sheeeeenziiii mnabahati hamkutaja mwezi
Kwamba umeanza ona mpira kipindi cha 2Hivi aucho alikuwepo?
Ila Mayele sijui leo ataimalizaje sikuLicha ya kuja na mbinu ya kumpitisha mbwa uwanjani ila wapiii
Naona alifichwa kwapani.π π π π