Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Imeisha iyo
giphy.gif
Watu wanakunywa supu ya Nyama pori leo na kutafunwa Nyama zake zote. Yanga 3 Simba 0
 
Kuna timu walichungulia wakakuta kuna goal nyingi wanafungwa pale Lupaso, wakaanzisha zengwe ili mechi isichezwe

Na ss tukawahi kwenda kuyatoa mabango haraka sana ili kitoweo kije kwenye mtego haraka sana

Mpango na utaratibu upo kama ulivyo, na Tunashukuru kwa kujaa kwenye mtego wetu

Kilichobaki ni utekelezaji
Asante
Hahahaha leo mbona simba anakufa si chini ya 2!!!

Hivi mkuu nini maana ya Lupaso?
 
Yanga 3 Simba 0. Michezo hiyo yote watu wanaijua kuliko wewe uliyeanza kushabikia Simba uzeeni.Umejawa na imani ya kishirikina badala ya kuamini kikosi ulichonancho
Naona viungo wa Simba wakiwa na kaz ya ziada.
 
Kaka hawa leo wetu. Wameshukuru Mungu winga tereza Yakuba hayupo.
Yupo Saidoo yale mabeki mazee yakipigwa pressure lazima yafanye faulo nje ya 18 Saidoo anayatungua
 
Kuna timu walichungulia wakakuta kuna goal nyingi wanafungwa pale Lupaso, wakaanzisha zengwe ili mechi isichezwe

Na ss tukawahi kwenda kuyatoa mabango haraka sana ili kitoweo kije kwenye mtego haraka sana

Mpango na utaratibu upo kama ulivyo, na Tunashukuru kwa kujaa kwenye mtego wetu

Kilichobaki ni utekelezaji
Asante
Kupata vichekesho kama hivi tunatuma kwenda namba ipi?
 
Back
Top Bottom