zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Watu wanakunywa supu ya Nyama pori leo na kutafunwa Nyama zake zote. Yanga 3 Simba 0Imeisha iyo![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakunywa supu ya Nyama pori leo na kutafunwa Nyama zake zote. Yanga 3 Simba 0Imeisha iyo![]()
Umeamua kujirasimisha rasmi ili tukutambue wewe ni mtu wa namna gani? Tumeshajua,Biashara matangazo .AsanteYanga akitufunga leo mniite jokate.
Acha utani mkuuYanga akitufunga leo mniite jokate.
Hahahaha leo mbona simba anakufa si chini ya 2!!!Kuna timu walichungulia wakakuta kuna goal nyingi wanafungwa pale Lupaso, wakaanzisha zengwe ili mechi isichezwe
Na ss tukawahi kwenda kuyatoa mabango haraka sana ili kitoweo kije kwenye mtego haraka sana
Mpango na utaratibu upo kama ulivyo, na Tunashukuru kwa kujaa kwenye mtego wetu
Kilichobaki ni utekelezaji
Asante
Kaka hawa leo wetu. Wameshukuru Mungu winga tereza Yakuba hayupo.Wananchi wakishinda goli mbili kwa hiyo mizee nitasikitika sana
Lupaso ni kijiji alichozaliwa MZEE MKAPAHahahaha leo mbona simba anakufa si chini ya 2!!!
Hivi mkuu nini maana ya Lupaso?
Naona viungo wa Simba wakiwa na kaz ya ziada.Yanga 3 Simba 0. Michezo hiyo yote watu wanaijua kuliko wewe uliyeanza kushabikia Simba uzeeni.Umejawa na imani ya kishirikina badala ya kuamini kikosi ulichonancho
Heshima yakoLupaso ni kijiji alichozaliwa MZEE MKAPA
Uwanja wa Mkapa
De stadio de LUPASO
Yupo Saidoo yale mabeki mazee yakipigwa pressure lazima yafanye faulo nje ya 18 Saidoo anayatunguaKaka hawa leo wetu. Wameshukuru Mungu winga tereza Yakuba hayupo.
Daah kweli mmepania yani mapema yote hii?
Naam wanasimba wote tuwe pamoja hapa leo kuna kitoweo cha swala.
Mshana Jr
Ghazwat
OKW BOBAN SUNZU
ChamasonMorisonBwalyason
BRN
Kalpana
Erythrocyte
This is...
Kijukuu cha ngoyayi
Utopologist
busha
Mbaga III
Simba nguvu moja.
Simba taifa kubwa.
Simba the next level.
Kila la kheri Timu yangu ya Moyoni Yanga African... Piga hao wasengesenge na Makolokolo wanaoogopa kanembo kidogo ety kisa kinembk kinajina kubwa la chap GSM.
Full time Simba 0-4 Yanga
Mzalendo kweri kweriDah! Nimecheka. Nchi hii tushakubali kutoendelea. Yaani mtu anakaa anawaza igonge saa sita kamili usiku aachie thread. Noma.
Kupata vichekesho kama hivi tunatuma kwenda namba ipi?Kuna timu walichungulia wakakuta kuna goal nyingi wanafungwa pale Lupaso, wakaanzisha zengwe ili mechi isichezwe
Na ss tukawahi kwenda kuyatoa mabango haraka sana ili kitoweo kije kwenye mtego haraka sana
Mpango na utaratibu upo kama ulivyo, na Tunashukuru kwa kujaa kwenye mtego wetu
Kilichobaki ni utekelezaji
Asante