Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kuna redcard mkuu tena ya moja kwa moja Jonas MkudeNachoomba leo mechi isiharibiwe na refa , matukio ya penati yawe ya foul za uhakika .
halaf wanailaumu serikali kwa umasikini, watu wanaingia uwanjani saa 3 asubuhi michi saa 11!Dah! Nimecheka. Nchi hii tushakubali kutoendelea. Yaani mtu anakaa anawaza igonge saa sita kamili usiku aachie thread. Noma.
Nitakutafuta baadae usikimbie humu.Leo kuna redcard mkuu tena ya moja kwa moja Jonas Mkude
Kwahyo yeye uchezaji wake ili afanye kuonekana ni mpk itokee faulo tenaa karib na goli ? Basi kumbe ni topolo tuu kama matopolo menzake.Uliza makolo wenzako amefunga free kick ngapi mpk sasa na sio kwenye hii ligi tu ila ni mpk kwa timu yake ya Taifa
Mkifanya makosa karibu na box tambueni hiyo ni goal la bure
umeongea vyema asee inabidi tukuweke bench la ufundiKikosi changu cha leo
1Manula
2 Israel mwenda
3 zimbwe jr
4 Inonga Baka
5 Onyango Joash
6 Jonas mkude
7 Hassan Dilunga
8 Muzamiru Yassin
9 Madie kagere
10 Rally Bwalya
11Kibu Denis
Subs
Kakolanya, Kennedy, kapombe, Morrison, Boko, Banda, E nyoni, Sahko, Kanoute.
Marrison namuweka nje kama game changer wangu kutokana hali ya mchezo itakavyokuwa kipindi cha pili nikiangalia kati ya Dilunga na Kibu yupi anaufanisi mzuri ampishe Morrison lakini pia nitamtazama Bwalya kwa jicho la karibu ikiwa mechi itakuwa ngumu kwake na Yanga wanashambulia sana basi atatoka na nafasi yake Ataingia E nyoni kisha nitakuwa na viungo 3 katikati ya kiwanja yaani MUZAMIRU, E NYONI NA MKUDE wote hao wana uwezo mzuri sana wa kukaba hasa ukizingatia kwa upande wa Yanga watakuwa na watu wagumu sana katikati ya kiwanja yaani AUCHO, BANGALA NA FEISAL.
Kama Bwalya atatoka na kuingia Nyoni basi Kibu Denis atapanda juu kucheza 10 nyuma ya Kagere kisha 11 Ataingia Morrison nafasi ya Dilunga hapo itakuwa ni 4.4.2 Diamond yaani Kuna wakati timu ikiwa na mpira MUZAMIRU ama NYONI watapanda juu nyuma ya Kagere kama namba 10 huku KIBU DENIS kicheza kutokea pembeni kulia kama namba 7 hivyo basi nitakuwa na watu sita kwenye eneo la box la timu pinzani. Na timu ikipoteza mpira nitakuwa na watu wanne katikati ya kiwanja na wanne kwenye eneo la ulinzi na ikitokea shambulizi la kushitukiza nitakuwa hatari zaidi sababu nitakuwa na KIBU NA MORRISON watu wenye kasi kubwa Huku juu yao Kuna mtu hatari KAGERE.
Wakati huo huo nje nitakuwa na Sadio Kanoute kama back up ikiwa Muzamiru ama mkude wakiumia.
Kwanini Onyanyo na Inonga wanaanza ni kwasababu ya mipira ya juu yaani cross, Kona na faulo ambazo Yanga wanaweza kuzitumia vizuri lakini pia Kuna Ntibazonkiza ambaye ni fundi sana kwenye mipira iliyo kufa hivyo nitawahitaji sana INONGA NA ONYANGO kucheza tena kwa kiwango chao Bora kabisaa.
Kwanini Morrison anaanzia bench ni kwasababu nataka kupima kwanza ufanisi wa Moloko ama Ntibazonkiza kwenye zile winga za kushoto na kulia kwasababu Morrison sio mwepesi wa kurudi nyuma haraka kukaba ikiwa timu haina mipira hivyo Zimbwe anaweza kuzidiwa sana lakini KIBU NA DILUNGA ni wazuri sana kwenye kukaba timu inapokuwa haina mpira hivyo basi Morrison nitamuhitaji kipindi cha pili wakati ambayo Yanga kasi yao imepungua tayari.
Naanza na Israel mwenda kwasababu ya kupungua kwa kasi na kiwango cha kapombe kwa michezo ya hivi karibuni japo Mwenda sio mzuri sana kwenye kushambulia lakini atanipa uhakika wa kukaba lakini pia anaweza kufukia mashimo yanayoachwa na mabeki wa kati na pia ni mzuri sana hewani kuliko kapombe.
Binafsi nitaenda hivi.
Mkuu game za simba na Yanga huwa siangalii kabisa coz nina pressure kubwa sanaNitakutafuta baadae usikimbie humu.
Aya sawaKwahyo yeye uchezaji wake ili afanye kuonekana ni mpk itokee faulo tenaa karib na goli ? Basi kumbe ni topolo tuu kama matopolo menzake.
Nafikiria tu hapa
Kama morison hakufunga goli na akavua bukta akawaoneshea yanga chupi
Walahi leo huyu jamaa akifunga anaweza kuwaonyeshea ubo kabisa
na huyo jamaa akicheza, tumefungwa Simba na tukijitahid sana basi ni drawLeo kuna redcard mkuu tena ya moja kwa moja Jonas Mkude
asianze, aingie sub huyuNafikiria tu hapa
Kama morison hakufunga goli na akavua bukta akawaoneshea yanga chupi
Walahi leo huyu jamaa akifunga anaweza kuwaonyeshea ubo kabisa
unaweza kushangaa feisal akalala umeme maana yeye huwa anakamia derby tuLeo kuna redcard mkuu tena ya moja kwa moja Jonas Mkude
Huyu Feisal ndio atayesababisha redcard kwa Mkudeunaweza kushangaa feisal akalala umeme maana yeye huwa anakamia derby tu
tusibiri game masaa mawili,Ila acheni tabia za kukimbia thread mkifungwaHuyu Feisal ndio atayesababisha redcard kwa Mkude
Mkuu mm sio kukimbia thread tu coz hata mpira wa simba na Yanga huwa siangalii kabisa ila huwa nakuja kuangalia highlights tutusibiri game masaa mawili,Ila acheni tabia za kukimbia thread mkifungwa
mi nazima tv nitausikiliza kwenye redio ,tukifungwa natulia gheto tukifunga tu naenda kibanda umiza hapa jirani kukeraMkuu mm sio kukimbia thread tu coz hata mpira wa simba na Yanga huwa siangalii kabisa ila huwa nakuja kuangalia highlights tu
Kapime pressure kabisa.Mkuu mm sio kukimbia thread tu coz hata mpira wa simba na Yanga huwa siangalii kabisa ila huwa nakuja kuangalia highlights tu