Game Simba amezidiwa sema watu wanashangilia kwakuwa nafasi kubwa ya ushindi alipewa Yanga. Mtaani wanaofurahia SARE ni SIMBA na sio YANGA.Lile goli halikuingia......? Mpira wenyewe nime angalia kwa kuchungulia tena nieanzaia dk 60,ila yote kwa yote kwa dk nilizo ziona Simba walikuwa bora, Yanga walikosa mechi fitness sijajua kipindi cha kwanza ilikuwaje.
Simba imebakia kwenye mitandao, pale hakuna timu.Sema refa kawapa utopolo sare wewe. Waamuzi ndio wameipa utopwinyo sara maana goli la halali limefungwa kabsa hali shida. Na filimbi ya ajabu hatukujua ya nn
Unajipa moyo tu ila kwa mpira huna cha ajabu umekimbizwa kama mtoto kipindi cha 2 ndo kdg umezindukaKwani mkuu ni uongo tuko kimataifa. Au Wewe hujui.
Halafu sisi tuna watu saizi yetu km Al Ahly, Zamalek, nk watu wanaocheza mpira unaoeleweka. Hawa Wana mbinu so tunajua tutadili nao vipi. Sasa nyie mazuzu mnapiga uende mbele. Mnapiga chenga nyiiiingi halafu zote mnajipiga wenyewe. Ili muambiwe mnaupiga mwingi.
Hata mimi naheshimu mtizamo wako, kwani hayo ni mawazo yako.Hayo ni matokeo uliyokuwa nayo mfukoni mkuu
Football sio mpira rahisi namna hiyo ila Naheshimu mchango wako
Video tumeiona na yule dada mwenye Nyodo tumemuona, hizo lugha zisizofaa ndio hatujaziskia....
Ni kama polisi siku hizi hawapigi virungu tena.
Nimeangalia mpira kwa umakini sana. Simba walikuwa wanapoteza mipira hovyo kuliko Yanga, hata kipindi cha pili Simba bado hawakufanya shambulizi lolote la maana golini kwa Yanga zaidi ya Shuti moja la Kanoute, nadhani watu wameona ameperform kisa tu kupiga shuti lile, ila katikati Simba hawakuwa vizuri na hata Kanuote amepoteza mipira mingi sana. Simba wamecheza rafu nyingi zaidi ya Yanga hii inaonesha ni jinsi gani walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulizi.Mzee hata km hawakuwa na shot hata moja yani hata moja lkn second half walikuwa threat sana na wao ndo wanaotamba mtaani muda huu kwa sababu ya kipindi cha pili,kiukweli kuna mahali walituotea kipindi cha pili hatukuwa na nyendo kabisa... kongole sana kwa kibwana kwasababu walikaona kadogo wakataka wakaonee lkn kijana hatingishwagi kozembe.
Mkuu unapokutana na mshindani wako ni muhimu sana kumshinda ili kutengeneza gap, Usitegemee wapinzani wengine wamshushe kama ww umeshindwa.Plan za Simba hakuna hata mmoja aliyezielewa humu
1. Simba walichofanya ni kutafuta njia ya kutoka na point yoyote ile iwe point zote 3 au point 1, leo Simba amefanikiwa kuondoka na point moja.
2. Kingine Simba plan yake ni kupunguza gap kwa Yanga either kumfunga Yanga ama kutoka naye droo, hii maana yake ni kwamba ni njia za kutafuta Ubingwa wa NPL Tanzania.
Plan za Simba leo zimefaulu
Tunawacheka tu kwa dharau, hakuna anaye shangilia draw, we are one of the giants wa soka la afrika nyie endeleeni na ligi yenu ya mchangani [emoji23]Simba mwenyewe anajijua underdog ndo maana amefurahia draw
Tulifungwa sisi ila kwa kubahatishwa na ndio maana tulikua na uhakika kua mayele ni zari tu kama ilivyokua kwa balama mapinduzi naye mlimpa promo lakini yuko wapi saizi?Kwani kwenye ngao ya jamii alifungwa nani?
Saa nyingine ni kama kichwani hazikutoshi.
Sawa, unazungumziaje goli alilokosa mayele kipindi cha kwanza kwa kutaka kupiga ki star, mayele ni mzigo kwa yanga muda utaongea. [emoji23]Nimeangalia mpira kwa umakini sana. Simba walikuwa wanapoteza mipira hovyo kuliko Yanga, hata kipindi cha pili Simba bado hawakufanya shambulizi lolote la maana golini kwa Yanga zaidi ya Shuti moja la Kanoute, nadhani watu wameona ameperform kisa tu kupiga shuti lile, ila katikati Simba hawakuwa vizuri na hata Kanuote amepoteza mipira mingi sana. Simba wamecheza rafu nyingi zaidi ya Yanga hii inaonesha ni jinsi gani walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulizi.
Onyango amefanya kazi nzuri sana kwa kumdhibiti Mayele na sio INONGA.
Next game Simba isirudie makosa kuwaanzisha MORRISON, KIBU, DILUNGA NA KAGERE kwa pamoja, walikuwa mzigo mzito kwa viungo wakabaji wa Simba maana hawawezi kukaba pindi mpira unakuwa kwa YANGA.
Kwa ujumla mechi ilikuwa nzuri tena sana, refa kachezesha vizuri, makosa yaliyopo ni ya kibinadamu tu.
Kwa upande wangu matokeo yamekua kawaida sana,kwa maana hata haya pia niliyatarajia.Acha kujifariji, ulichokiona pale ndo uwezo halisi wa yanga achana na maneno ya manara nyie bado sana [emoji23]
Tangu lini mwenyeji wa mechi akatakiwa awe na mwaliko maalum?
Hakuna Simba anayefurahi sare, tulikuwa tunatamani muda usiishe tupate goli but Yanga mkaanza kupotezaGame Simba amezidiwa sema watu wanashangilia kwakuwa nafasi kubwa ya ushindi alipewa Yanga. Mtaani wanaofurahia SARE ni SIMBA na sio YANGA.
Hujaona mashambulizi ya Simba? Na hukuona hata ile Mwamnyeto akatoa mpira nje kidogo ajifungeNimeangalia mpira kwa umakini sana. Simba walikuwa wanapoteza mipira hovyo kuliko Yanga, hata kipindi cha pili Simba bado hawakufanya shambulizi lolote la maana golini kwa Yanga zaidi ya Shuti moja la Kanoute, nadhani watu wameona ameperform kisa tu kupiga shuti lile, ila katikati Simba hawakuwa vizuri na hata Kanuote amepoteza mipira mingi sana. Simba wamecheza rafu nyingi zaidi ya Yanga hii inaonesha ni jinsi gani walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulizi.
Onyango amefanya kazi nzuri sana kwa kumdhibiti Mayele na sio INONGA.
Next game Simba isirudie makosa kuwaanzisha MORRISON, KIBU, DILUNGA NA KAGERE kwa pamoja, walikuwa mzigo mzito kwa viungo wakabaji wa Simba maana hawawezi kukaba pindi mpira unakuwa kwa YANGA.
Kwa ujumla mechi ilikuwa nzuri tena sana, refa kachezesha vizuri, makosa yaliyopo ni ya kibinadamu tu.
Kilichoongezeka yanga ni kelele tu, lakini kimpira bado sana.Kwa upande wangu matokeo yamekua kawaida sana,kwa maana hata haya pia niliyatarajia.
Kingine me sio shabiki 'oya oya',Kitu chochote anachoongeaga Manara huwaga nakichuja kwanza,Me huwaga sifati mkumbo.
All in all nakupa hongera mzee maana haya matokeo kwako ni favorite.
Hahahahah binafsi nimehisi yule aliona kama ni offside, lkn pia mpira ulikatika tu, amejitahidi sana leo ila alikabwa mno.Sawa, unazungumziaje goli alilokosa mayele kipindi cha kwanza kwa kutaka kupiga ki star, mayele ni mzigo kwa yanga muda utaongea. [emoji23]
Nani sasa mwenye mpira? Wewe au?Kilicho ongezeka yanga ni kelele tu, lakini kimpira bado sana.
Mkuu sasa kama hizo clearance mbona mabeki wa Simba wamefanya sana. Lile shambulizi kwako wewe?? Ushabiki wa ajabu sana huu.Hujaona mashambulizi ya Simba?na hukuona hata ile Mwamnyeto akatoa mpira nje kidogo ajifunge
Simba shukuruni mmetoka salamaKilicho ongezeka yanga ni kelele tu, lakini kimpira bado sana.