Sasahivi watakuwa wanaongea ila moyoni mwao wamegundua Simba Sc ni ile ile.Mkuu, kwa namna walivyokuwa wanajigamba na walivyokuwa wanaizungumzia shit simba nilijua leo wanashinda. Jana nimetoka Mbeya kuja Arusha utadhani basi zima la Arusha Expresse walikuwa mashabiki wa Yanga. Mpaka nikajua leo tunapigwa, ikabidi niwe mpole [emoji16]
Ndio ukweli wenyewe huo.Game Simba amezidiwa sema watu wanashangilia kwakuwa nafasi kubwa ya ushindi alipewa Yanga. Mtaani wanaofurahia SARE ni SIMBA na sio YANGA.
Sawa na leo umecheza na hewa sio..? 😂😂 utopwiiiii, utopwinyo. Mapele leo kakutana na wanaume maanyenye. Fei toto akitaka kubinua binua miguu analuta wanaume washa fanya yao 😂😂Simba imebakia kwenye mitandao, pale hakuna timu.
Nimesikitishwa sana na Yule Lainzmen(Mshika Kibendera Kipindi cha Pili pale aliposimamisha Kibdendera Akiashiria Faulo,Ila Pia Cha Kushangaza tena refa Akweka Free kick....
Ni Maana Yake Au Tafsiri yake....
Ina Maana Pale Kanoute Angefunga Refa Angesema Sio goli kwa Kufuata Muongozo wa Mshika Kibendera!
Wakati ShutiKimepigwa Kipa Katema Mshambuliani kaja Kumalizia Mshika Kibdendera ananyoosha kuwa Kulikuwa na Kuotea....
Hii ni Hatari sana Sio ya Kunyamazia kabisa!
Hata Kama Goli Halikuingia Ina Inafikirisha na Kuona Mpango/Mapenzi fulani!
Likemewe/Mshika Kibendera Akemewe!Ndio akemewe ndio maana Refa akaweka Free kick ila ingekuwa goli na Kibendera kimesimama duu...Ndio Maana Nasema Akemewe maamuzi yalitofautiana
Barbara sio zuzu hao wanatapatapa wametaka kumkomesha. Lakini wenye akili wanajua tifua tifua mazuzu km yale mazuzu yalotajwa na dauda
Kuaminishwa nini?! Kwani tulivyowatungua kwenye ligi kuu huyo unayesema alituaminisha, alikuwepo?! Ni mara ngapi nimewatandika wakati Yanga ikiwa nyonge na huyo unayemuita Zeruzeru akiwa huko huko kwenu? Ukweli ni kwamba, issue sio zeruzeru bali hata wenyewe hamna imani na timu yenu!! Kilichowakuta leo ni kama kilichokuwa kinatokea Yanga miaka 3-4 iliyopita kwamba mara nyingi tulikuwa tunaenda uwanjani kama underdog na hivyo ilipokuwa inatokea sare, tulikuwa tunashangilia kama mlivyoshangilia nyie leo hii kwa sababu hamkuwa na matumaini ya kuchomoka!Sio furaha mliaminishwa sana na zeruzeru nyinyi bora kuliko simbaila sasa mnaanza kujua kua simba ni dude kubwaaaa sana ukitaka kupambana ujipange hasa
Kwahiyo nanyi mkaingia mchecheto kwa kuihofia timu iliyoaminishwa ujinga sio?! Hivi mliingia mchecheto kwa sababu tuliaminishwa ujinga au bado mnakumbuka kichapo cha ngao ya jamii?! Hapo alituaminisha nani?Hicho kikosi cha kuinyanyasa Simba Sc kama mlivyokuwa mnatamba kiko wapi? Shida yenu mnaaminishwa ujinga😅.
Halafu aliyeponea chupuchupu ni UTOPOLO, simba hakuwa na presha kabisa na hii mechi.
Makolo ni watu wa ajabu sana! Ina maana ni jambo jipya kwenu kusikia timu ikitamba kwamba itashinda, au?! Au ni kweli nanyi mlikuwa mnaipa nafasi kubwa Yanga kwa sababu bado mnakumbuka 1-0 ya Ngao ya Jamii huku timu yenu ikionesha wazi bado tia maji tia maji?Tunawashangaa nyie ambao mlijitanabaisha kuwa simba mtaifunga mbona hamjaifunga sasa maana mlikua na mbwembwe ooh kwa simba hii tutajizolea magoli kiko wapiii. Simba is anaza my bro
Huyu malaya anataka kusumbua wanaume
Kile kidemu kiboya kweli kweli, kitatiwa kiburi na yule ponjoro wa kususa sura sababu anakabandua
Al Ahly Ni mwenzetu kitambo sana. Tp mazembe NKUnajipa moyo tu ila kwa mpira huna cha ajabu umekimbizwa kama mtoto kipindi cha 2 ndo kdg umezinduka
Huyo Al ahly utamweza wap?
Zuzu jibu swali. Najua fasihi imekupita kushoto ila jibu swaliKo una agree kua Yanga ni bora?
Kama haujasimuliwa kuhusu mechi ya leo, nadhani Utakuwa unajua aliyekuwa tumbo joto.Kwahiyo nanyi mkaingia mchecheto kwa kuihofia timu iliyoaminishwa ujinga sio?! Hivi mliingia mchecheto kwa sababu tuliaminishwa ujinga au bado mnakumbuka kichapo cha ngao ya jamii?! Hapo alituaminisha nani?
Mtajitia tu lakini mlikuwa matumbo joto! Na sio kwa sababu Yanag waliaminishwa ujinga bali ni kwa sababu mlifahamu mwaka huu timu hamna!!
Anayefurahia kwa maneno "si mlisema mngetufunga" ndie aliyekuwa tumbo joto!Kama haujasimuliwa kuhusu mechi ya leo, nadhani Utakuwa unajua aliyekuwa tumbo joto.
Mkuu hukuelewa lugha ya kifasihi niliyotumia.Ni kigezo kipi unachotumia kusema Simba ni mbovu? Timu ipo makundi shirikisho CAF, timu inashika nafasi ya pili kwenye ligi kuu kwa tofauti ya alama mbili inakuwaje mbovu? Sawa timu ina dokta Aucho je wachezaji wote anaocheza nao ni madokta? Simba pia kuna mabunduki ya mk14 wakati yanga hawana hizo bunduki. Simba kuna mawakili wasomi wakati yanga hawana mawakili wasomi. Simba inawazee wa soft touch maleft tiuch yanga hawana
Ila kile kidemu kinawaumiza sana akili, yani mpaka kinatoka kwenye hiyo nafasi kitakuwa kimewamaliza😅😅😅.
Giant hahahahahaha giant unatolewa kamasi na timu ya mwisho (geita )giant unashangilia draw Ili Hali kitakwimu umezidiwa kila kitu kasoro faulo na kupiga mpira nje ya langoTunawacheka tu kwa dharau, hakuna anaye shangilia draw, we are one of the giants wa soka la afrika nyie endeleeni na ligi yenu ya mchangani [emoji23]
Unaongelea kilichofanyika uwanjani au maneno ya watu?Anayefurahia kwa maneno "si mlisema mngetufunga" ndie aliyekuwa tumbo joto!
Kwamba ukiwa mwenyeji Hadi refa unantafuta wewe wewe kisa mwenyejiTangu lini mwenyeji wa mechi akatakiwa awe na mwaliko maalum?