Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Hahahaha leo mbona simba anakufa si chini ya 2!!!

Hivi mkuu nini maana ya Lupaso?
 
Yanga 3 Simba 0. Michezo hiyo yote watu wanaijua kuliko wewe uliyeanza kushabikia Simba uzeeni.Umejawa na imani ya kishirikina badala ya kuamini kikosi ulichonancho
Naona viungo wa Simba wakiwa na kaz ya ziada.
 
Kaka hawa leo wetu. Wameshukuru Mungu winga tereza Yakuba hayupo.
Yupo Saidoo yale mabeki mazee yakipigwa pressure lazima yafanye faulo nje ya 18 Saidoo anayatungua
 
Kupata vichekesho kama hivi tunatuma kwenda namba ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…